Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ziyech alianza vizuri chini ya Lampard..

Kama unakumbuka alipoga krosi flani matata sana chilwell akapiga goli..

Kilichomshusha kidogo ni majeruhi aliyopata, pia kariba ya washambuliaji wetu. Jamaa hua anawapa pasi za upendo sana, umaliziaji ndo shida..

Kwa TT pia hajafeli kama tunavyoaminishwa,, angalia gemu alizocheza kwa TT kaperform vizuri kabisa.

Itakua chelsea hawamtaki kwa sasa kwasababu ya wingi wa viungo na mawinga..

Competition imekua kubwa sana sehemu izo mbili
Kila kocha ana vitu fulani vilivyojificha anaangalia kwa mchezaji hata kama kiwango chake kikiwa chini huwa anamng'ang'ania ila akivikosa hivyo vitu visivyoendana na mfumo wake huwa anamuweka nja ya plan yake. Ziyech ni mchezaji mzuri sana ila hayuko offensive na agressive sana
Pia kocha mojawapo ya vitu anaangalia ni jinsi gani mchezaji anaweka kwenye vitendo falsafa yake ya uchezaji
Mfano hata kama hapewi muda wa kutosha hata kama kwa wakati fulani TT alikasirishana naye, Odoi ni mfano wa wachezaji ambao TT anawategemea sana kwa baadaye na ndio maana hata ile ofa ya Bayern Munich Odoi kaitolea nje, kasema anataka kubaki darajani kupigania nafasi chini ya TT

Hakimi na Hakim wako rigid sana kwenye flexibility na hawataendana na style ya TT na ndio maana hata Hakimi hana hamu ya kuja Chelsea
 
Chelsea wasifanye uzembe kumruhusu Rudiger aondoke kwenye Dirisha la kiangazi mwakani
Pia wasimruhusu Christensen aswap kule Inter or wherever
Rudiger ni fighter na ni mzalendo hata akiwa nje ya uwanja anahamasisha ushindi, ni winner oriented guy
 
It's 20 years to the day since Frank Lampard joined Chelsea.
Frank Lampard joined Chelsea from West Ham on this day 20 years ago for £11million.
 
1623770709973.png
 
Mahrez ametweet kwamba yeye ni Agent wa Man City kwenye usajili wa Erling Haaland kule kwenye kisiwa cha Mykonos Greece
Mahrez tweet
"Agent Mahrez on duty"
Katweet tena

“Just having fun calm down”.
 
Kumbe usajili wa Chelsea ulikuwa unapondwa tangu zamani
Ebu angalia miaka 20 iliyopita aliposajiliwa Lampard kutokea Westham, Pundit njaa walivyouponda huo usajili

1623771728035.png

Mwaka huo huo akaanza kuonyesha kwa nini alisajiliwa darajani
 
#Chelsea have made a €70M plus Tammy Abraham bid for Borussia Dortmund forward Erling Haaland. Dortmund yet to respond to the offer.
 
Kila kocha ana vitu fulani vilivyojificha anaangalia kwa mchezaji hata kama kiwango chake kikiwa chini huwa anamng'ang'ania ila akivikosa hivyo vitu visivyoendana na mfumo wake huwa anamuweka nja ya plan yake. Ziyech ni mchezaji mzuri sana ila hayuko offensive na agressive sana
Pia kocha mojawapo ya vitu anaangalia ni jinsi gani mchezaji anaweka kwenye vitendo falsafa yake ya uchezaji
Mfano hata kama hapewi muda wa kutosha hata kama kwa wakati fulani TT alikasirishana naye, Odoi ni mfano wa wachezaji ambao TT anawategemea sana kwa baadaye na ndio maana hata ile ofa ya Bayern Munich Odoi kaitolea nje, kasema anataka kubaki darajani kupigania nafasi chini ya TT

Hakimi na Hakim wako rigid sana kwenye flexibility na hawataendana na style ya TT na ndio maana hata Hakimi hana hamu ya kuja Chelsea
Umeongea vizuri Ziyech ni mchezaji mzur akiwa na mpira ila pindi timu inapokua haina mpira yy huwa anazurura zurura tu uwanjani.
 
Kila kocha ana vitu fulani vilivyojificha anaangalia kwa mchezaji hata kama kiwango chake kikiwa chini huwa anamng'ang'ania ila akivikosa hivyo vitu visivyoendana na mfumo wake huwa anamuweka nja ya plan yake. Ziyech ni mchezaji mzuri sana ila hayuko offensive na agressive sana
Pia kocha mojawapo ya vitu anaangalia ni jinsi gani mchezaji anaweka kwenye vitendo falsafa yake ya uchezaji
Mfano hata kama hapewi muda wa kutosha hata kama kwa wakati fulani TT alikasirishana naye, Odoi ni mfano wa wachezaji ambao TT anawategemea sana kwa baadaye na ndio maana hata ile ofa ya Bayern Munich Odoi kaitolea nje, kasema anataka kubaki darajani kupigania nafasi chini ya TT

Hakimi na Hakim wako rigid sana kwenye flexibility na hawataendana na style ya TT na ndio maana hata Hakimi hana hamu ya kuja Chelsea
Binafsi Bora nimuuze Kai kuliko Ziyech, Ziyech ni mtu na nusu sisi tunalalamika ooh hatuna kiungo mbunifu kama fabregas wakati tunae Ziyech sema anaangushwa na striker butu tulionao pale mbele, Si kila mchezaji lazima awe mkabaji yule anatakiwa apewe free role na chelseafc wasajili striker wa maana
 
Binafsi Bora nimuuze Kai kuliko Ziyech, Ziyech ni mtu na nusu sisi tunalalamika ooh hatuna kiungo mbunifu kama fabregas wakati tunae Ziyech sema anaangushwa na striker butu tulionao pale mbele, Si kila mchezaji lazima awe mkabaji yule anatakiwa apewe free role na chelseafc wasajili striker wa maana
Tueleze tu kuwa unatania
Mchezaji talented na ana miaka 22 tu auzwe tumbakize mchezaji wa miaka 28? Ningekuelewa ungesema wote wabaki
 
Nataman sana pep amuchukue ziyech kama nyie kunguni mkimuacha ...

Ziyech wa ajax naumuona akiingia city ..
 
Tueleze tu kuwa unatania
Mchezaji talented na ana miaka 22 tu auzwe tumbakize mchezaji wa miaka 28? Ningekuelewa ungesema wote wabaki
Ingekuwa umri una matter hivi kwanini mpaka sasa bayern munich wamemkumbatia Lewandoski? au kwanini A.Madrid walimsajili Suarez badala ya kutafuta striker kijana?
 
Ingekuwa umri una matter hivi kwanini mpaka sasa bayern munich wamemkumbatia Lewandoski? au kwanini A.Madrid walimsajili Suarez badala ya kutafuta striker kijana?
Usimlinganishe tafadhali Lewandoski na Ziyech
Angekuwa ni Lewandoski au Luiz Suarez angeshaonyesha hiyo level kwa muda aliokaa darajani
Na usisingizie majeruhi kwa sababu Lewandoski au Luiz Suarez wanapatwa majeruhi na wakipona wanarudi haraka kwenye form
Ziyech ni mchezaji mzuri lakini sio level ya Lewandoski au Suarez hata kidogo,
Ziyech ni mchezaji mzuri hakuna mtu amekataa lakini uzuri wa Ziyech unacurve down na uzuri wa Havertz uncurve up kwa sababu ya umri
Kocha au meneja atakayemtoa Havertz ambakize Ziyech atakua hayupo vizuri kiakili au ana bifu naye
Msimu ujao utaelewa kwa nini Havertz is far better than Ziyech kwenye kushambulia
 
Premier League final day fixtures:

Arsenal v Everton
Brentford v Leeds
Brighton v West Ham
Burnley v Newcastle
Chelsea v Watford
Crystal Palace v Man Utd
Leicester v Southampton
Liverpool v Wolves
Man City v Aston Villa
Norwich v Tottenham
 
Yussuf Yurary Poulsen is the son of a Tanzanian father and a Danish mother. His father worked on a container ship, oscillating between Tanga and Denmark before he settled in Copenhagen. He died of cancer when Yussuf was only six years old. Yussuf visited Tanzania several times as a child. He was eligible to play for Tanzania but did not receive any offers from the Tanzanian federation; as a result, he chose to represent his native Denmark.
1623831612317.png
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom