Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Ndg yangu ufuatilii uchezaji wa hawa wawili. Ziyech haonyeshi agresiveness na juhudi uwanjani, Grealish yeye ni typ ya Hazard kwa kudrible na kung'ang'ana na ni mzuri kwenye kuassists. Ziyech umaarufu wake ni kwenye krosi tu ambazo hata James na Azpilicueta wanazipiga sana. Grealish ni bora mara nyingi kuliko Ziyech
Grealish ana safari ndefu kumfananisha na Hazard, hajafika hata robo y Hazard. Tatizo la Grealish anajiona yeye ni star, namfatilia sana huwa hajishuhulishi kwenye kukaba. Halafu anao anao sana na kutaka kuforce kufunga hata kama hamna na nafas ya kufunga(uchoyo).
 
Hana timu kwa sasa
Screenshot_20210617-214246_Twitter.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Achraf Hakimi: Chelsea making progress in pursuit of Inter Milan defender​

Both Chelsea and Paris Saint-Germain have made £51.6m (€60m) offers but Inter Milan want at least £68m (€80m); Inter are warming to the idea of Marcos Alonso and Davide Zappacosta being included as part of any deal
1624014089528.png
 
Fununu
Akiondoka Ziyech Chelsea wana mpango wa kuingia Leicester City kumchukua James Madison
Hapo vipi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom