Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,508
- 18,668
Hizo ni habari za kijiweni tu ili kichangamke. Fabrizio Romano ndio wa kumuamini tu na hiyi habari hajaiweka.
Kasome hapa View attachment 1821784
Kasome hapa View attachment 1821784
Huu ushabiki utaniua, Nngependa France achukue kombe ili angalau Kante apate credit za kuwa mchezaji bora na hapo hapo naishabikia Ubelgiji achukue kombe mana naikubali sana Ubelgiji
Mmh.! Em tusubiriUbelgiji sioni ata wakifika nusu fainali
Kwa nni tusimchukue yule veterani Ramos ambae hajui aende wapWerner- Haaland - Mount
Chilwell - Kovacic - Kante - Hakimi
Rudger - Thiago - James
Hiii habari cjaipenda sana hata kidgo Zuma anakaaa Chelsea kweliTomori bye byeView attachment 1821734
Hujui lolote kuhusu ubeligijiUbelgiji sioni ata wakifika nusu fainali
Hujui lolote kuhusu ubeligiji
Grealish ana safari ndefu kumfananisha na Hazard, hajafika hata robo y Hazard. Tatizo la Grealish anajiona yeye ni star, namfatilia sana huwa hajishuhulishi kwenye kukaba. Halafu anao anao sana na kutaka kuforce kufunga hata kama hamna na nafas ya kufunga(uchoyo).Ndg yangu ufuatilii uchezaji wa hawa wawili. Ziyech haonyeshi agresiveness na juhudi uwanjani, Grealish yeye ni typ ya Hazard kwa kudrible na kung'ang'ana na ni mzuri kwenye kuassists. Ziyech umaarufu wake ni kwenye krosi tu ambazo hata James na Azpilicueta wanazipiga sana. Grealish ni bora mara nyingi kuliko Ziyech
Sema Ze ShityzenNipo sanaa, na nasubili kutembeza bakora next season ,EPL irudi etihad ...
Sioni timu yenye pumzi ya kuvuka mlima wa game 38 ,zaidi ya ze cityzen


Amini hizi sourceHizo ni habari za kijiweni tu ili kichangamke. Fabrizio Romano ndio wa kumuamini tu na hiyi habari hajaiweka.
Kuwa na wazee wengi kwenye timu tutakuwa the Old Lady wa EPL
🤣🤣🤣🤣 Team Bora hadi sasa ni ITALY, FRANCE, GERMAN na PORTUGAL zingine ni zakutafuta kwa tochiSiwezi kaa meza moja na kibonde kama ww
Timu França.Team Bora hadi sasa ni ITALY, FRANCE, GERMAN na PORTUGAL zingine ni zakutafuta kwa tochi