John dillinger
JF-Expert Member
- Jun 15, 2020
- 2,537
- 3,039
Hata asiponenepa, huyo kiloba sio wa level za chelsea, tutakuja kumkataa wenyew hapa. Si bora tubaki na tammy au GiroudAkinenepa tena kama alivyokuwa man u, ufungaji ukapungua tutaweka wapi sura yetu?
Timu kama Arse8, Ac Milan, Looserfools na nyinginezo ni timu kubwa ambazo zinatembelea historian tu.Kuna timu kubwa za kizamani na timu kubwa za sasa,cfc
Sasa hivi media hazina news za kuuza, ni tetesi na uumbea tu!Hapana deal hazija tick subiri tufanikishe ndo tuone. Best 11 ni ipi , wote hawawezi kuja
Halafu wengi hawamfuatilii na kumuona jinsi anavyofungaKacheza mechi 44 msimu huu ana goals 34 assist 10 alafu nyinyi mnambeza kwenye Taifa lake la belgium yeye ndio Top scorer hadi sasa huo uwalali wa kumponda mnatoa wapi?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣London inameremeta Ąiseeeeeeeeeehhhhhh.... We are champion hahaha
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
London inameremeta Ąiseeeeeeeeeehhhhhh.... We are champion hahaha
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app


kwa hisani ya ChelseaMwanaume akipambana na kupata mafanikio basi mke wake atasema 'nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke'London inameremeta Ąiseeeeeeeeeehhhhhh.... We are champion hahaha
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
Taarifa nzuri iyo kwa washabiki na wapenzi kwaclub ya ChelseaThomas Tuchel "TT" kashaongeza mkataba mpya wa miaka miwili mbele baada ya kufanya vizuri kwa kuchukua UEFA CHAMPIONS LEAGUE.
Hii ni tofauti na mkataba wa awali aliousaini wa Mwaka mmoja na nusu(miezi 18) mara tu Lampard alipotimuliwa Stamford Bridge mwaka huu mwezi wa 2.
Kabisa Mkuu, ngoja tuone ikiwa atawekewa mzigo mpya kwa ajili ya usajili mwaka huu.Taarifa nzuri iyo kwa washabiki na wapenzi kwaclub ya Chelsea
Hahahaha kwahiyo Asre8 ni mwanamke siyo..!!Mwanaume akipambana na kupata mafanikio basi mke wake atasema 'nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke'



