Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Wachezaji wengi mikataba yao inaisha mwezi ujao JULY:-

1. Batshuayi
2. Drinking water
3. Bakayoko
4. Barkley
5. Loftus Cheek
6. Giroud

Wachezaji wakuuzwa:-

7. Tomori
8. Abraham
9. Ermason
10. Alonso 50/50
11. Zouma 50/50
Alonso kwa maoni yangu atakuwa partner mzuri wa Chilwell asiuzwe, angalau msimu huu kwa sababu priority kubwa ni CB, MF na Striker
 
Alonso kwa maoni yangu atakuwa partner mzuri wa Chilwell asiuzwe, angalau msimu huu kwa sababu priority kubwa ni CB, MF na Striker
Hazard anasikitisha kwa kweli

Kutoka kuwa kiungo hatari Sana Hadi kuwa kibonge
 
Mwaka 2012 city walishinda EPL na Chelsea tukachukua UCL
Mwaka 2021 city kashinda EPL na Chelsea tukachukua UCL
What a coincident
But a difference.
2012 City haikufika fainali UCL

2021 City imefika fainali UCL
 
Lukaku
Kane
Haaland
Lewandoski

Tuendelee kuwaamini Harvetz, Werner, Abraham
Verbal words, mshiko ukiwekwa mezani huwa wanajitoa ufaahamu kwamba jana yake walisema nini
Hata huyu Erling Haaland aliyewahi kusema Chelsea timu ndogo ataisifia muda unavyokwenda kwa sababu ya Chelsea kushinda UEFA na pia mshiko mzuri ukiwekwa mezani
Kumbuka kuwa timu nyingi zina matatizo ya kifedha kwa sababu ya COVID19

Kuna kila dalili Chelsea watamsajili Haaland
Kane tuondoe kwa sababu ya urival wa timu za London
 
1622714375724.png
 
Bosi anaamini kuwa Lukaku ndie striker anayeffaa kuichezea Chelsea

Chelsea FC owner Roman Abramovich is the driving force behind the west London club’s bid to re-sign Romelu Lukaku from Inter Milan, according to a report in England.

According to the same story, Abramovich is getting personally involved in a deal to re-sign Lukaku, 28, as Chelsea FC look to build on their Champions League success.

Man city wao wako tayari kumpa mshiko mkubwa zaidi Lukaku ili avae shati la blu iliyopauka hapo kwenye jiji la Machester
 
Kacheza mechi 44 msimu huu ana goals 34 assist 10 alafu nyinyi mnambeza kwenye Taifa lake la belgium yeye ndio Top scorer hadi sasa huo uwalali wa kumponda mnatoa wapi?
Nashangaa.

Watu wanashindwa hata kutofautisha mifumo ya makocha.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom