Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Tuvuteni picha Lukaku ndio huyo hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


-----Werner- Lukaku- Mount--------


Chilwell- Joginho - Kante- James


------Rudger - Thiago - Azipu -----


Dah Harvetz ni bora kuliko Lukaku. Lile goli Kai alilofunga UCL angekuwa Lukaku pale angembabua kipa usoni.
Havertz sio natural striker ni kama werner. Natural strikers ni Giroud na Tammy Abraham
Lukaku ni natural no. 9, form yake ilikuwa mbovu Man U kwa sababu kule hawana team work kama ilivyo Chelsea hasa baada ya TT kuja
Ubinafsi ukiondolewa kule mbele Lukaku anaweza funga goli 15-20 kwa msimu
Kama Lukaku hafai basi tumzuie Tammy asiende kwa sababu anaweza kutupa magoli kama ya Lukaku
Ila Havertz hataweza kuwa mfungaji wa kutegemewa hata kama kafunga goli zuri juzi
Labda mkosi ukimuisha Werner anaweza fikisha goli 20 ila hatakuwa namba 9, akifunga akiwa winga kama akina Sterling wa City
Tuiache management wafanye klazi yao, Gamble ya Lukaku inaweza lipa, ofcourse alisha cheza EPL na Everton na Man U kwa hiyo hatahitaji muda wa kuzoea
 
Nilikuwa nasema hapo siku za nyuma kuwa haya makombe mawili yalikuwa yanazagaa zagaa tu. Kombe la FA tumepoteza kwasbbu ya waamuzi wabovu na VAR kutuhujumu Chelsea. Ata hivyo kombe la UEFA linatosha sn.


Msimu ujao utakuwa ni vita hasa kutoka kwa waamuzi kwa kuwa na maamuzi mabovu. Yaani FA na waamuzi wake wataisumbua sn Chelsea ili kuhakikisha na TT hawaweki record kubwa na hawafanikiwi.


Ata hivyo Roman Abramovic amekusudia kukiongezea kikosi nguvu kwa kuongeza wachezaji ambayo TT anao wataka. Abramovic kwa ubaba anasemaje Chelsea haijatengenezwa ili ifurahie kuingia top four kila msimu km mafanikio yao km vile Spurs na Arsenal wanavyopigania. Chelsea inajengwa kwa ajili ya kushinda makombe. Na watafanya kila wanalo weza kutengeneza timu ili washinde makombe


Kwahiyo msimu ujao Chelsea inabeba EPL mapema kabisa maana uwezo tunao kabisa na tunakwenda kufuta kabisa ufalme na utawala wa Pep na City yake kwa miaka ya hivi karibuni. Na kuna dalili Pep akaikimbia City km alivyo ikimbia Barcelona wakati Mourinho alivyopeleka moto Madrid.


Thomas Tuchel ndio kocha mbabe wa mbinu na mwenye uwezo mkubwa sn hapo Ulaya na ktk EPL...


Msimu ujao tutegemee mambo makubwa na kushinda makombe mengi yanayo zagaa zagaa....
 
TT TACTICAL ANALYSIS VS CITY
  1. Kuzuia mashambulizi ya pembeni ambayo city au PEP anapenda kutumia kwa kuwatumia RB na LB na mawinga katika kushambulia. Chilwell kambana sana Mahrez na Walker wasipandishe mipira kabisa. James kawazuia Stearling na Zinchenko wasipandepia
  2. Kante aliandaliwa kwa ajili ya clearance na recoveries za uwanja mzima kama alivyofanya dhidi ya ya RM
  3. Werner katumiwa kuisumbua na kuipasua defenve ili kutoa space kule mbele na goli la Havertz ni matokeo ya huo mpango. Mount alipopata mpira mabeki wa city hasa Dias akili yao walielekeza kwa Werner wakamuachia Havertz linafasi kubwa katikati. Udhibitisho wa huo mpango, Werner alikuwa akicheza pembeni zaidi yaani kulia na kishoto na kila anayepata mpira walikuwa wakimtafuta zaidi Werner
  4. Mabeki wao kazi yao kubwa ilikuwa kufanya clearance na walifanikiwa sana akina Azpi, Silva baadaye Christensen na Rudiger. Kwa kazi nzuri ile kipa Mendy hakuwa na kazi kubwa juzi ya kufanya isipokuwa lile jaribia bubu alilotaka kufanya Aguero la kumpasia Jesu mpira wa juu kumpita Mendy

View attachment 1804377
Ktk Tactics unaweza kueleza mpk ukachoka... Itoshe kusema tu kuwa TT ni fundi mno kuliko Pep.


Ukianza kuchambua tactics ktk kila fields yaani hadi unapata raha.


Kwa mfano kuanzishwa Mbele kwa Timo na Kai. Huku kuliifanya safu ya ulinzi ya City kupata shida sn.

Maana TT alihitaji mtu mwenye kimo kirefu na nguvu na ndio sbbu akamtupia Kai. Yaani ata lile goli Kai alipewa pasi na Mount Zichenko alibaki ananing'inia miguuni tu mwa Kai.


Yaani ktk hao wawili tu huko mbele waliwasumbua sn City.


Kitu kimoja Chelsea walichofanya ktk kukaba muda wote walikuwa 5+2+3..


Bado Niko na vibe la ushindi nitakuja kuelezea namna Tactics zilivyofanya kz.
 
Tammy huyo NI out of favour tiyari kwenye kikosi cha tuchel...msimu ujao huenda akaenda crystal palace au westham ....Lukaku wa misimu miwili iliyopita inter alikuwa ana kasheshe sana ana takwimu nzuri Sana za ufungaji na assist Labda utueleze unavyoona kwann asije Lukaku au kisa alifeli man u?
Hata kwetu pia aliferi
 
Ktk kujenga timu pana usiseme Declan Rice atakuja kuchukua nafasi ya nani. Sisi sio Arsenal au Westham. Tunahitaji kujenga timu ya kushindana na Man City. Timu ambayo timu A au B inaweza kubeba makombe makubwa, Pesa ipo kwa hiyo wewe relax tu!

Lukaku ni mfungaji clinical na kwa kutumia nguvu zake analazimisha kufunga
Adama ni wingback mzuri ambaye atafanya pair nzuri sana na Reece James
Tukiwakosa akina Robert au Kane tumchukue Lukaku
Haaland achane nae yeye anataka timu kubwa, kashasema Chelsea ni timu ndogo
Anataka kwenda Man U, RM, Barca nk
Haland muache akaferi atarudi tu
 
Tuvuteni picha Lukaku ndio huyo hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


-----Werner- Lukaku- Mount--------


Chilwell- Joginho - Kante- James


------Rudger - Thiago - Azipu -----


Dah Harvetz ni bora kuliko Lukaku. Lile goli Kai alilofunga UCL angekuwa Lukaku pale angembabua kipa usoni.
Kweli
 

Jamani nendeni mkampigie kura za ndiyo kijana wetu​

You can vote for Mason Mount to be named EA Sports Premier League Player of the Season after he was named on the eight-man shortlist.​

The Chelsea Academy graduate is the youngest person to be nominated for the English top-flight’s highest individual honour in 2020/21 after a fine campaign, which was only his second in the Premier League, and ended with him lifting the Champions League trophy.
The 22-year-old made more league appearances for Chelsea than any other player this season, missing just two games in that competition throughout the campaign, and was involved in 11 Premier League goals, scoring six and setting up another five for his team-mates.
The winner of the Premier League Player of the Season award is decided by a public poll and you can cast your vote here until 6pm on Thursday 3 June, with the winner then being announced two days later.
1622576427127.png
 

Jamani nendeni mkampigie kura za ndiyo kijana wetu​

You can vote for Mason Mount to be named EA Sports Premier League Player of the Season after he was named on the eight-man shortlist.​

The Chelsea Academy graduate is the youngest person to be nominated for the English top-flight’s highest individual honour in 2020/21 after a fine campaign, which was only his second in the Premier League, and ended with him lifting the Champions League trophy.
The 22-year-old made more league appearances for Chelsea than any other player this season, missing just two games in that competition throughout the campaign, and was involved in 11 Premier League goals, scoring six and setting up another five for his team-mates.
The winner of the Premier League Player of the Season award is decided by a public poll and you can cast your vote here until 6pm on Thursday 3 June, with the winner then being announced two days later.
View attachment 1805361
Nimeshavote, wengine tufanye hivyo.
 
Ktk Tactics unaweza kueleza mpk ukachoka... Itoshe kusema tu kuwa TT ni fundi mno kuliko Pep.


Ukianza kuchambua tactics ktk kila fields yaani hadi unapata raha.


Kwa mfano kuanzishwa Mbele kwa Timo na Kai. Huku kuliifanya safu ya ulinzi ya City kupata shida sn.

Maana TT alihitaji mtu mwenye kimo kirefu na nguvu na ndio sbbu akamtupia Kai. Yaani ata lile goli Kai alipewa pasi na Mount Zichenko alibaki ananing'inia miguuni tu mwa Kai.


Yaani ktk hao wawili tu huko mbele waliwasumbua sn City.


Kitu kimoja Chelsea walichofanya ktk kukaba muda wote walikuwa 5+2+3..


Bado Niko na vibe la ushindi nitakuja kuelezea namna Tactics zilivyofanya kz.
Kwahiyo Kai Havertz ana nguvu sio? Umeandika ugoro
 
Chelsea kupunguza wa chezaji 10 kabla ya msimu ujao, tetesi ziliopo nikwamba kati ya hao kumi kuna Fikao Timori anaenda AC Milan kwa permanent deal, Tammy Abraham, Oliver Giroud, na kurts Zouma ambaye inasemekana aendani na mfumo wa kocha wasasa TT. nk

Pia the blues wako mbioni ku tafuata washezaji wapya msimu ujao waweze kushindana na kuchukua kombe la PL pamoja na kutètea Uefa. Ealing Halaad, harry Cane Romelu lukaku, Hakimi na nikhilas Sule, ndo wachezaji wanao tafutwa na the blues.
 
Hivi tukimsajili STRIKER, Kai atacheza nafasi gani uwanjani?

Au itamlazimu TT kubadili mfumo kutoka 343 kwenda 4- 2 -3 -1? Au 4-2-1-3?


---------------- STRIKER------------------

Werner --------- Kai -------- Mount

------------ Joginho - Kante ---------

Chilwell - Rudger - Silva - Azipu


4-2-1-3

Werner----- STRIKER-----Mount

--------------------- Kai -------------------

------------ Joginho - Kante ---------

Chilwell - Rudger - Silva - Azipu
Huyo Azpilicueta na Silva wameshaenda sana kiumri, ni vyema management iwekeze beki wengine kusajili ili kuimarisha kikosi zaidi na kuwapumzisha hao wawili.
 
Hapo safi.

Thiago Silva sio wa kudumu ni vizuri kumtafutia mbadala wake wa kusaidiana na Christensen.

Akipatikana kiungo fundi mchezeshaji aina ya Fabrigas itapendeza.

Striker no question anahitajika haraka.

BONUS - hazard arudishwe kwa mkopo anaweza kukiwasha tena, atakuwa msaada.
Hazard akirudishwa itabidi tutoe winger mmoja either Kwa kuuza au mkopo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom