Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Orodha ya wachezaji ambao Chelsea wamedhibitisha hawatakuwepo msimu ujao darajani
  1. Jamal Blackman
  2. Izzy Brown
  3. Declan Frith
  4. Danilo Pantic
  5. Willy Caballero
  6. Marco van Ginkel
  7. Jack Wakely
 
Orodha ya wachezaji ambao Chelsea wamedhibitisha hawatakuwepo msimu ujao darajani
  1. Jamal Blackman
  2. Izzy Brown
  3. Declan Frith
  4. Danilo Pantic
  5. Willy Caballero
  6. Marco van Ginkel
  7. Jack Wakely
Huyu Blackman si kipa?? Kwanini anauzwa?
 
  • Chelsea walipobeba UEFA 2012 Eden Hazard ambaye ana initials za EH alijiunga na Mabingwa wa Ulaya akiwa na miaka 21 msimu uliofuata
  • Chelsea walipobeba UEFA 2021 Erling Haaland ambaye ana initials za EH anajiunga na Mabingwa wa Ulaya akiwa na miaka 21 msimu unaofuata
  • What a coincident again
 
Kumbe Giroud kapewa mkataba ili kumzuia asiende Spurs?
Akitaka kwenda AC Milan ni bure, akitaka kwenda Spurs pochi lazima itolewe
 
Erling Haalan bei yake yawekwa hadharani ni Euro mil 172
Kazi kwako Roman
 
Chelsea imefungua milango kumsajili Mshambuliaji wa Borussia Dortmund Erling Haaland dili ambalo linakadiriwa kufikia Pound za Uingeleza 170m (Billion 558 za Kitanzania) Pia kuna uwezekano wa Chelsea kumtoa Tammy Abraham kama sehemu ya dili hilo.

Wana Chelsea mnasemaje kwa ujio huu hapa darajani? toa maoni yako.

Hebu cheki mavitu yake hapa

 
Chelsea imefungua milango kumsajili Mshambuliaji wa Borussia Dortmund Erling Haaland dili ambalo linakadiriwa kufikia Pound za Uingeleza 170m (Billion 558 za Kitanzania) Pia kuna uwezekano wa Chelsea kumtoa Tammy Abraham kama sehemu ya dili hilo.

Wana Chelsea mnasemaje kwa ujio huu hapa darajani? toa maoni yako.
Kwa hiyo pesa hakuna haja ya kuwapa Abraham tunamwitaji Abraham awe kama backup wetu
 
Kwa hiyo pesa hakuna haja ya kuwapa Abraham tunamwitaji Abraham awe kama backup wetu
Ni kweli ukiangalia umri wake bado anaweza kuja kuwa potential baadaye - mi naona kama anahitaji nafasi zaidi ya kucheza wamtoe kwa mkopo badala ya kuwa sehemu ya dili la Haaland.
 
Vile vile Tomari anahitajika pale AC Millan ambako alikuwa anacheza kwa mkopo, AC Millan wametangaza dau la Pound Mil 25 Takribani Tshs Billion 82.

Kijana ana umri wa miaka 23, Je mnaonaje - kwangu mimi wamkubalie asepe ili Club ijiongezee hela ku-balance mahesabu ya msimu, ila kwenye mkataba wa mauzo kuwe na kipengele cha Buy Back
 
Kwa hiyo pesa hakuna haja ya kuwapa Abraham tunamwitaji Abraham awe kama backup wetu
Mzee Abraham ni out of favour Kwa sasa...na Kwa kuwa giroud kaongeza mkataba...na pia kuna tetesi za kocha kumhitaji Yule dogo Armando broja ambaye alikuwa anakipiga Kwa mkopo uholanzi ni dhahiri nafasi yake ni finyu kikosini

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Chelsea imefungua milango kumsajili Mshambuliaji wa Borussia Dortmund Erling Haaland dili ambalo linakadiriwa kufikia Pound za Uingeleza 170m (Billion 558 za Kitanzania) Pia kuna uwezekano wa Chelsea kumtoa Tammy Abraham kama sehemu ya dili hilo.

Wana Chelsea mnasemaje kwa ujio huu hapa darajani? toa maoni yako.

Hebu cheki mavitu yake hapa

Aje tu
 
Ushapona maradhi yako ya kuwewseka? Baàda ya kukuvua kanga ?
Kuweweseka nini ....

Timu tumechukua PL +carabao + final CL ...


Kwa msimu mmoja ,unataka tufanye nini tena ..

This is cityzen bana ,we go ,tunasubiki next season tena ....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom