DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
UnawashwawashwaMwanaume akipambana na kupata mafanikio basi mke wake atasema 'nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke'
Sent from my DUB-LX1 using JamiiForums mobile app
UnawashwawashwaMwanaume akipambana na kupata mafanikio basi mke wake atasema 'nyuma ya mafanikio ya mwanaume kuna mwanamke'
Hata wao wenyewe wanajijuaHahahaha kwahiyo Asre8 ni mwanamke siyo..!!![]()
Njoo unikune
Mmh hawa one season wonder sio wa kukimbilia la sivyo unakula za USO Tu kama Luka jovic Kwa real Madrid....Mzee ukimfuatilia vizuri kabla ya kutua eintracht Frankfurt alikuwa pia Sevilla na AC Milan na huko alistruggle Sana ...at least a maintain tena Kwa misimu mingine....Andre Silva wa Eintracht Frankfurt mbona hazungumzwi wakati yeye kamzidi Haaland kwenye ufungaji?
Silva kafunga 28 wakati Haaland kafunga 27 msimu uliopita
Kama yule Piateki sijui jina nimelipatia alikuwa Ac milani raia wa Poland alianza vizuri mpaka wengine wakasema Lewandoski mpya Leo yuko wapi?Mmh hawa one season wonder sio wa kukimbilia la sivyo unakula za USO Tu kama Luka jovic Kwa real Madrid....Mzee ukimfuatilia vizuri kabla ya kutua eintracht Frankfurt alikuwa pia Sevilla na AC Milan na huko alistruggle Sana ...at least a maintain tena Kwa misimu mingine....
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Liverpool ndio wamelenga huyo wa mil30/40 tuMmh hawa one season wonder sio wa kukimbilia la sivyo unakula za USO Tu kama Luka jovic Kwa real Madrid....Mzee ukimfuatilia vizuri kabla ya kutua eintracht Frankfurt alikuwa pia Sevilla na AC Milan na huko alistruggle Sana ...at least a maintain tena Kwa misimu mingine....
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Nadhani alikuwa na maana kwamba; Kante ana makombe yote muhimu hapa duniani.Pumbavu, chupi la mtumba
Mkataba umeongezwa kibiashara zaidi kwa sababu kwa mfumo wa TT Giroud na Tammy hawatapata nafasi sana, Unless kuna mashine ya magoli mpya itasajiliwa TT ataendelea kuwatumia Werner na Havertz kwenye false no.9Kumuongezea mkataba GIROUD kuna faida mbili:-
1. Tunahitaji mabao yake muhimu kwa point 3 muhimu, magoli yake yalitufikisha EUROPA Fainali 2019, magoli yake yametuvusha hatua ya makundi UEFA mwaka huu.
2. Giroud ni hot sokoni Ac Milan na vilabu vingi vilikuwa vanamtaka bahati mbaya wangemchukua bure.
Kumuongezea Mkataba wa mwaka 1 tunaweza kupiga pesa ya kumuuza dirisha la January kuliko kuondoka bure dirisha hili.
Aston villa wameshamsajiliKwann tusiwapiku Aston Villa kwenye usajili wa Buendia kutoka Norwich. Naona Villa ndio wanaongoza kwenye mbio za kumsajili maana zile takataka za London zimeshindwa kabisa ata kuongeza paundi milioni 5. Ase8 wanatia aibu sana yaani mchezaji mzuri kama yule wanataka kweli kumuachia hivi hivi aende villa, poor Ase8
Hii SUPER CUP inapigwa lini hii game? Wale Villareal inatakiwa tuwapige za kutosha.Wakuu, nahisi kwenye hii super cup kuna baadhi ya wachezaji hawatokuwepo kutokana na masharti ya corona mfano Mendy au hapa itakuwaje.?
Itachezwa Ireland ambayo pia ni UK
11 AugustHii SUPER CUP inapigwa lini hii game? Wale Villareal inatakiwa tuwapige za kutosha.
Unakuta nyumbu zinakuja kutamba Kwa rekodi ya makombe Yao waliochukua miaka ya nyuma...imagine kombe limechukuliwa 1967 wakati siasa za ujamaa nchi njaa tupu hakuna hata TV ...THE BLUES tembeeni kifua mbele.View attachment 1810551
utapata wapi muda WA kufuatilia... Ila Una kuta kitoto kidogo leo kinavimba kweli na nyumbu zao au liverfyuku bila kusahau shenaliHili nalo watapinga etiTHE BLUES tembeeni kifua mbele.View attachment 1810551