lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,380
- 25,482
Kule aliko anaona wivu ile mbayaMASKINIIIII HAZARD AISEEE
Kule aliko anaona wivu ile mbayaMASKINIIIII HAZARD AISEEE
Mfukua makaburi nakusalimu kwa jina la Chelsea FC...We kuku nasubiri mrejesho hapa nilikuambia tukutane baada ya mechi kumalizika nashangaa uko kimya
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app







lembu nilikuwambia hao man city utawakataa ebu pita Tena comment yanguHii game leo City wameonekana kama hawajui kucheza
PEP ajifunze mbinu kwa TT
Chelsea ilitakiwa ishinde sio chini ya goli 3 leo
Wamecheza mpira wenye malengo, wao walikaa na mpira sana lakini walicheza kama watoto wa matambara
Chelsea ikipata mpira pasi za uhakika na za hatari
Mason Mount na 22yo tayari kawa Legend wa Chelsea akiendelea itakuwa balaa
Tunashukuru mkuuHongereni wakuu..
Na mwenzake Willian ameenda arsenal kuchukua EuefaMASKINIIIII HAZARD AISEEE
Bila kumsahau willian wamepishana na ndinga la dhahabuMASKINIIIII HAZARD AISEEE




Ila alisema kabisa hii fainal ataisapoti ChelseaKule aliko anaona wivu ile mbaya