Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Leicester tumeridhika na kombe. Hii ya leo ni majaaliwa litakalotokea litokee
 
Hizi kosa kosa za Chelsea na moto uliowashwa halafu tupoteze point
 
Kwa mnao angalia mpira Kante kapatwa na nini?

Nimeona play score katolewa dakika 35
 
Kwanini kocha aweki striker pale mbele hii game ni muhimu Sana kwetu kwa hizi kosa kosa angekuwa abraham au Giroud ni goal
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom