Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Rud akafanya yake
1621433192874.gif
 
RUDIGER: WE HAVE TO PUNISH LEICESTER CITY FOR DANIEL AMARTEY
1621493362816.png

1621493580613.png



Rudiger adai ushindi wa jana ni wa kulipiza kisasi kwa ushabiki wa kijinga Daniel Amartey alioufanya kwenye kushangilia ushindi wa FA final, Amartey alirusha chini kibendera cha Chelsea kile makapteni wanabadilishana kabla mechi haijaanza. Rudiger na wenzake almost timu nzima ya Chelsea walikasirika sana wakaapa kulipiza kisasi hiyo jana. ndio maana hata baada ya kuwa wanaongoza Rudiger kidogo amkung'ute Ricardo kwa kumchezea rafu nadhani Mount. Amartey hakuwa uwanjani jmosi na jana lakini sio mstaharabu kabisa hadi refa Dean akamlima kadi ya njani kwa kuingia uwanjani kuchochea ugomvi

"Unfortunately, some people of them don't know how to celebrate. We had to punish them, 100%," Rudiger told Chelsea's 5th Stand app."
"Some people from them gave us a bit more motivation from Saturday. Congratulations to them, they won and everything. Celebrate and everything but don't disrespect club history. This is a bit bigger than you."
 
Ule ugomvi binafsi niliupenda sana, hii inaonyesha ni jinsi gani wachezaji wetu wako tayari kupambana kwa ajili ya klabu yetu (Fighting for the badge). Mount, Silva na Azpilicueta walinivutia sana vile waliact baada ya kumuona Amartey uwanjani ni kama walitaka kumla mzima mzima bila Mendy kuachanisha dogo alikuwa anatoka na manundu uwanjani.
Rudiger adai ushindi wa jana ni wa kulipiza kisasi kwa ushabiki wa kijinga Daniel Amartey alioufanya kwenye kushangilia ushindi wa FA final, Amartey alirusha chini kibendera cha Chelsea kile makapteni wanabadilishana kabla mechi haijaanza. Rudiger na wenzake almost timu nzima ya Chelsea walikasirika sana wakaapa kulipiza kisasi hiyo jana. ndio maana hata baada ya kuwa wanaongoza Rudiger kidogo amkung'ute Ricardo kwa kumchezea rafu nadhani Mount. Amartey hakuwa uwanjani jmosi na jana lakini sio mstaharabu kabisa hadi refa Dean akamlima kadi ya njani kwa kuingia uwanjani kuchochea ugomvi
 
Rudiger adai ushindi wa jana ni wa kulipiza kisasi kwa ushabiki wa kijinga Daniel Amartey alioufanya kwenye kushangilia ushindi wa FA final, Amartey alirusha chini kibendera cha Chelsea kile makapteni wanabadilishana kabla mechi haijaanza. Rudiger na wenzake almost timu nzima ya Chelsea walikasirika sana wakaapa kulipiza kisasi hiyo jana. ndio maana hata baada ya kuwa wanaongoza Rudiger kidogo amkung'ute Ricardo kwa kumchezea rafu nadhani Mount. Amartey hakuwa uwanjani jmosi na jana lakini sio mstaharabu kabisa hadi refa Dean akamlima kadi ya njani kwa kuingia uwanjani kuchochea ugomvi
Rudiger ana team sprite kwa Chelsea akiendelea kujituma hivo atakua legand wa chelsea
 
Liverpool akifungwa leo, Chelsea kaingia top 4 moja kwa moja
 
Aston Villa afungwe, atoe droo au ashinde haitabadili position yake ya 11 (ana point 52, Leeds aliye juu yake ana points 56, Wolve aliye chini yake ana points 45) so mechi yake na Chelsea ni ya kukamilisha ratiba tu. Chelsea tushindwe wenyewe
 
Leicester City naiona hiyo inakosa UEFA kwa mwaka wa pili mfululizo baada ya kukaa top 4 kwa muda mrefu nadhani hata kuliko mwaka jana
Kumbe walikuwa wakiwatunzia wenye mali tu

  1. Man United atafungwa na Wolves na kubakia na points 71
  2. Chelsea atamfunga Aston Villa na kufikisha points 70
  3. Liverpool atamfunga Crystal Palace na kufikisha points 69
  4. Leicester City atadroo na Spurs na kufukisha points 67
  5. Westham atadroo na Southampton na kufikisha point 63
  6. Everton atamfunga Man City na kufikisha points 62
Msimamo wa nafasi ya kwanza hadi 7 itakuwa hivi
  1. Mancity 83pts - Bingwa
  2. Man United 71pts mshindi wa pili
  3. Chelsea 70pts mshindi wa tatu
  4. Liverpool 69pts mshindi wa nne
  5. Leicester City 67pts mshindi wa tano
  6. Westham 63pts mshindi wa sita
  7. Everton 62pts mshindi wa saba
Mshindi wa kwanza hadi nne watashiriki mashindano ya UEFA na
Mshindi wa 5 na 6 watashiriki mashindano ya Europa ngazi ya makundi
Mshindi wa 7 atashiriki Europa ngazi ya mchujo (UEFA Conference zamani wakiita qualifying stage)

Arsenal na Spurs hawatashiriki mashindano yeyote ya mbuzi mwaka huu labda wajaribu tena mwakani
 
GOOD NEWS, KANTE HANA MAJERUHI

What's the injury situation with N'Golo Kante and what did you make of Antonio Rudiger's performance?

"N'Golo is not injured. He told me
– and I understood him right in French – he went out before an injury. He felt his hamstrings and was worried that he would get injured if he continued to play. So we put Kova in and that was a risk because he was more or less on the bench for 20 minutes, but he played 60.

"We took some risks but it was the moment to take risks as it was a game of the highest importance at the end of the season. I am happy it worked out. Hopefully, NG will come back as we are a different team with NG and without NG. We compensated very well without him today.
 
Leicester City naiona hiyo inakosa UEFA kwa mwaka wa pili mfululizo baada ya kukaa top 4 kwa muda mrefu nadhani hata kuliko mwaka jana
Kumbe walikuwa wakiwatunzia wenye mali tu

  1. Man United atafungwa na Wolves na kubakia na points 71
  2. Chelsea atamfunga Aston Villa na kufikisha points 70
  3. Liverpool atamfunga Crystal Palace na kufikisha points 69
  4. Leicester City atadroo na Spurs na kufukisha points 67
  5. Westham atadroo na Southampton na kufikisha point 63
  6. Everton atamfunga Man City na kufikisha points 62
Msimamo wa nafasi ya kwanza hadi 7 itakuwa hivi
  1. Mancity 83pts - Bingwa
  2. Man United 71pts mshindi wa pili
  3. Chelsea 70pts mshindi wa tatu
  4. Liverpool 69pts mshindi wa nne
  5. Leicester City 67pts mshindi wa tano
  6. Westham 63pts mshindi wa sita
  7. Everton 62pts mshindi wa saba
Mshindi wa kwanza hadi nne watashiriki mashindano ya UEFA na
Mshindi wa 5 na 6 watashiriki mashindano ya Europa ngazi ya makundi
Mshindi wa 7 atashiriki Europa ngazi ya mchujo (qualifying stage)

Arsenal na Spurts hawatashiriki mashindano yeyote ya mbuzi mwaka huu labda wajaribu tena mwakani
Haya ni mawazo tu ,hayana ukweli wowote ,muda ufikee ..!
 
TUCHEL ONBOARD
"We are frustrated with the decisions. Against Arsenal we were denied a clear goal with the hand, two or three metres from the line it was a handball rather than a goal and VAR is not checking.

"Then we lose a final at Wembley because of a handball from Leicester that led to a goal. Today we have a clear penalty and it's suddenly we have a foul against Timo Werner. It's a bit hard to overcome these decisions in every match. Then we have another handball and an offside, whatever.

"With handball and offside there are hopefully no discussions but today there was an offside goal against Man United that didn't get overruled by VAR. Anything can happen. I am totally for VAR and for having clear decisions when they are needed. At the moment, these three crucial decisions against us are very hard to understand."
 
Player Ratings against Leicester City
  1. Edouard Mendy 7
  2. Reece James 8
  3. Thiago Silva 8
  4. Antonio Rudiger 9 MOTM
  5. Cesar Azpilicueta 7
  6. Jorginho 8
  7. N'Golo Kante 7
  8. Ben Chilwell 7
  9. Christian Pulisic 7
  10. Timo Werner 8
  11. Mason Mount 8
  12. Mateo Kovacic (for N'Golo Kante, 32) 6
 
Leicester City naiona hiyo inakosa UEFA kwa mwaka wa pili mfululizo baada ya kukaa top 4 kwa muda mrefu nadhani hata kuliko mwaka jana
Kumbe walikuwa wakiwatunzia wenye mali tu

  1. Man United atafungwa na Wolves na kubakia na points 71
  2. Chelsea atamfunga Aston Villa na kufikisha points 70
  3. Liverpool atamfunga Crystal Palace na kufikisha points 69
  4. Leicester City atadroo na Spurs na kufukisha points 67
  5. Westham atadroo na Southampton na kufikisha point 63
  6. Everton atamfunga Man City na kufikisha points 62
Msimamo wa nafasi ya kwanza hadi 7 itakuwa hivi
  1. Mancity 83pts - Bingwa
  2. Man United 71pts mshindi wa pili
  3. Chelsea 70pts mshindi wa tatu
  4. Liverpool 69pts mshindi wa nne
  5. Leicester City 67pts mshindi wa tano
  6. Westham 63pts mshindi wa sita
  7. Everton 62pts mshindi wa saba
Mshindi wa kwanza hadi nne watashiriki mashindano ya UEFA na
Mshindi wa 5 na 6 watashiriki mashindano ya Europa ngazi ya makundi
Mshindi wa 7 atashiriki Europa ngazi ya mchujo (qualifying stage)

Arsenal na Spurs hawatashiriki mashindano yeyote ya mbuzi mwaka huu labda wajaribu tena mwakani
Mshindi wa 7 atashiriki michuano mipya ya uefa europa conference
 
Leicester City naiona hiyo inakosa UEFA kwa mwaka wa pili mfululizo baada ya kukaa top 4 kwa muda mrefu nadhani hata kuliko mwaka jana
Kumbe walikuwa wakiwatunzia wenye mali tu

  1. Man United atafungwa na Wolves na kubakia na points 71
  2. Chelsea atamfunga Aston Villa na kufikisha points 70
  3. Liverpool atamfunga Crystal Palace na kufikisha points 69
  4. Leicester City atadroo na Spurs na kufukisha points 67
  5. Westham atadroo na Southampton na kufikisha point 63
  6. Everton atamfunga Man City na kufikisha points 62
Msimamo wa nafasi ya kwanza hadi 7 itakuwa hivi
  1. Mancity 83pts - Bingwa
  2. Man United 71pts mshindi wa pili
  3. Chelsea 70pts mshindi wa tatu
  4. Liverpool 69pts mshindi wa nne
  5. Leicester City 67pts mshindi wa tano
  6. Westham 63pts mshindi wa sita
  7. Everton 62pts mshindi wa saba
Mshindi wa kwanza hadi nne watashiriki mashindano ya UEFA na
Mshindi wa 5 na 6 watashiriki mashindano ya Europa ngazi ya makundi
Mshindi wa 7 atashiriki Europa ngazi ya mchujo (qualifying stage)

Arsenal na Spurs hawatashiriki mashindano yeyote ya mbuzi mwaka huu labda wajaribu tena mwakani
Spars watapambana ili washinde, huku wakisubir westham wapigwe ili wapate nafasi ya 6 washiriki Europa mwakani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom