Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kepa kakosea wapi? Lile shuti hata angekaa nani haudaki. Ile velocity na angle sio mchezo. Makosa yalikuwa kwa refa maana beki iliisha relax wakijua kashika wazi kabisa!
Mzee baba, em acha utoto. Ni mashuti mangapi Mendy ametuokoa nayo afu ety unasema hata asingeweza kudaka lile shuti, kuna mashuti Mendy anadaka na unajua kabisa hapa angekuwa Kepa tushaliwa, kwa maana hiyo Mendy ana uwezo sawa na kepa.? Halafu acha kusema makosa n ya refa, kwan mchezaji anacheza na wapinzani au anacheza na refa.?
 
Lile shuti sio la kudaka, Mendy angepangua. Just simple as such, shuti kama lile hata kidole kimoja kingeweza kupindisha na kugonga goli au kutoka nje kabisa
Achana nae atakuumiza akili, leo hii Kepa ety ana uwezo sawa na Mendy 😂😂😂 Mashabiki maandaz ni wa kuwapuuzia tuu
 
Mzee baba, em acha utoto. Ni mashuti mangapi Mendy ametuokoa nayo afu ety unasema hata asingeweza kudaka lile shuti, kuna mashuti Mendy anadaka na unajua kabisa hapa angekuwa Kepa tushaliwa, kwa maana hiyo Mendy ana uwezo sawa na kepa.? Halafu acha kusema makosa n ya refa, kwan mchezaji anacheza na wapinzani au anacheza na refa.?
Kepa anamzidi uwezo Mendy.

Yaani hapo ni kama unaangalia rating ya kila mmoja ambayo hutolewa na Fifa. Wakati Mendy anakuja chelsea alikua ana rating ya 79 na kepa 84 ila mendy ana reflexes na positioning nzuri ndiyo maana anadaka poa poa.

Anyway huyu hapa ni Mendy.
cc08c55fc9a249408ca4d50eb4e314e4.gif
 
Kepa anamzidi uwezo Mendy.

Yaani hapo ni kama unaangalia rating ya kila mmoja ambayo hutolewa na Fifa. Wakati Mendy anakuja chelsea alikua ana rating ya 79 na kepa 84 ila mendy ana reflexes na positioning nzuri ndiyo maana anadaka poa poa.

Anyway huyu hapa ni Mendy.
View attachment 1787971
Huu uzi haukuhusu em Rudi arsenal, unamtetea Kepa mana alikuwa kichochoro chenu kufunga mabao ila Mendy mnamuona adui mana anawabana.
 
Huu uzi haukuhusu em Rudi arsenal, unamtetea Kepa mana alikuwa kichochoro chenu kufunga mabao ila Mendy mnamuona adui mana anawabana.
Mbona Mendy ndiye tuliyempiga 3?

Kepa asiye na mawazo ya kuachwa na mpenzi wake ni golikipa mzuri sana.

Lile shuti la Tielemans hakuna kipa angedaka kama angekaa kama alipokaa Kepa kwakua hauwezi jua kama mchezaji atashuti hivyo unakua unaenda na move ambayo ni kuzidi kwenda kushoto kwako kwavile Tielemans ndipo alipokua anaenda.

Jana Barcelona kafungwa na Celta vigo, alianza kuongoza. Ungeona goli la kusawazisha na la pili la Celta Vigo, na magoli matatu ya Levante kutoka suluhu na Barca game iliyopita ungekua unamkumbatia na kumbusu Kepa kila ukimuona.

Huyu hapa Mendy.

46ab1a6c186b4a889da59887d407197c.gif
 
Mbona Mendy ndiye tuliyempiga 3?

Kepa asiye na mawazo ya kuachwa na mpenzi wake ni golikipa mzuri sana.

Lile shuti la Tielemans hakuna kipa angedaka kama angekaa kama alipokaa Kepa kwakua hauwezi jua kama mchezaji atashuti hivyo unakua unaenda na move ambayo ni kuzidi kwenda kushoto kwako kwavile Tielemans ndipo alipokua anaenda.

Jana Barcelona kafungwa na Celta vigo, alianza kuongoza. Ungeona goli la kusawazisha na la pili la Celta Vigo, na magoli matatu ya Levante kutoka suluhu na Barca game iliyopita ungekua unamkumbatia na kumbusu Kepa kila ukimuona.

Huyu hapa Mendy.

View attachment 1787972
Kumfunga 3 haimaanishi ana uwezo sawa na kepa, lazima Kepa umtetee mana n kichochoro wenu na mnaumia kwa mafanikio ya Mendy
 
Kumfunga 3 haimaanishi ana uwezo sawa na kepa, lazima Kepa umtetee mana n kichochoro wenu na mnaumia kwa mafanikio ya Mendy
Itakua haujanielewa sijasema Mendy ana uwezo sawa na Kepa ila Kepa kamzidi Mendy uwezo.
 
Mpaka sasa Kati ya fainali 3 mmeshapoteza mbili leicester 1, na barcelona wanawake 2 bado ya UEFA kweli sijui mtajificha wapi
 
Hiki kitimu kweli kinaongoza kwa plastic fans maana kufungwa tu FA hamtaki kutupa uchambuzi uchwara wenu.
 
Mbona Mendy ndiye tuliyempiga 3?

Kepa asiye na mawazo ya kuachwa na mpenzi wake ni golikipa mzuri sana.

Lile shuti la Tielemans hakuna kipa angedaka kama angekaa kama alipokaa Kepa kwakua hauwezi jua kama mchezaji atashuti hivyo unakua unaenda na move ambayo ni kuzidi kwenda kushoto kwako kwavile Tielemans ndipo alipokua anaenda.

Jana Barcelona kafungwa na Celta vigo, alianza kuongoza. Ungeona goli la kusawazisha na la pili la Celta Vigo, na magoli matatu ya Levante kutoka suluhu na Barca game iliyopita ungekua unamkumbatia na kumbusu Kepa kila ukimuona.

Huyu hapa Mendy.

View attachment 1787972
Mashuti ya ukuta hakuna kipa anayeona, wote wanabahatisha
Tofautisha shuti la open space na hilo uliloliweka linalozuiwa na Ukuta. Unaonyesha jinsi hujui mpira
 
TT angekuwa anatembelea hizi mitandao na kuchukua maoni ya mashabiki

Mapendekezo ya line up ya kesho hii hapa
formation ya 3-4-3

Pulisic --------- Havertz ------------- Mount


Chilwell--------- Kovacic--------Kante-------James

Rudiger --------- Silva -------- Azpilicueta

Mendy

Sub zitakazotumika
Odoi for Pulisic
Tammy Abraham for Havertz
Jorginho for Kovacic
 
UKWELI NI HUU
PAMOJA NA LIVERPOOL KUWA MBOVU ANAWEZA KUOKOTA POINTS ZOTE 6 NA KUFIKISHA POINTS 69
VITA VIKO KATI YA CHELSEA NA LEICESTER CITY NA ATAKAYEFUNGWA NDIE ATAKAYETOKA TOP 4
ATAKAYESHINDA NDIE ATASHIKA NAFASI YA 3 AU LCFC NA CHELSEA ZIKAISHIA KWENYE PTS 68 LIVER AKAINGIA NAFASI YA 3, CHE 4 NA LCFC 5 KAMA MWAKA JANA
JE LEICESTER CITY WAKO TAYARI KURUDIA UJINGA WA MSIMU ULIOPITA?
TT USITUANGUSHE HIYO KESHO
 
Kila mwaka Chelsea wanatuweka viroho juu kwa kuacha kumaliza kazi hadi mechi ya mwisho. Sasa hivi Manure wamepumzika hata wakibugizwa magoli top 4 tayari, sisi ndio tunapambana na vitimu kama LCFC!
 
Spurs, Westham na Liverpool wakishinda mechi zao zote na Chelsea ikafungwa mechi zake zote hata Europa inakosa
God forbid
 
Mashuti ya ukuta hakuna kipa anayeona, wote wanabahatisha
Tofautisha shuti la open space na hilo uliloliweka linalozuiwa na Ukuta. Unaonyesha jinsi hujui mpira
Lete hapa reference ya kipa aliyewahi kudaka shuti ambalo aliyepiga alionyesha bado yuko kwenye move kudrift kushoto kisha akapiga shuti la kulia.

Mimi nakutajia magoli ya siku mbili nyuma yanayofanana na yenu.

1- Santi Mina anapokea pasi kutoka kushoto akiwa kwenye final third, Mina ni right footer, anatokea mchezaji anajaribu kuclose in kutokea kulia kwa Mina na mbele yupo Pique kumzuia asisogee mbele.

Na kwakua ni right footer anaonekana akijiandaa kushuti. Ter Stegen kwa kujua Mina ni right footer anajiandaa kuruka kushoto.

Pique kwa kujua Mina ni right footer anafanya body block ya kuelekea kushoto.

Mina shuti anapiga kushoto kwake (yaani kulia kwa Ter Stegen na kulia kwa Pique)

Ter Stegen hata hakuruka alibaki kasimama tu.

2- Gunter anapokea mpira wing ya kushoto anaambaa nao anaingia ndani ya ya box kutokea kwenye box huko huko kushoto. Neuer kwa kujua Gunter ni left footer anazidi kubana upande wake wa kulia.

Gunter anaachia shuti, na analipigia kushoto kwa Neuer ambaye alishajaa kulia.

Goli.

Xhaka kamfungaje Mendy? Xhaka ni left footer hivyo anaweza zaidi kucurve mpira na kuushuti comfortably kushoto (ambapo ni kulia kwa kipa) ndiyo maana Mendy akajaa upande ule in advance.

Xhaka alivyopiga kulia (Kushoto kwa Mendy) lazima iwe ngumu kuuzuia huo mpira.

Ili uelewe zaidi kama uliangalia ile nusu fainali first leg ya Barca na Liva, goli la faulo la Messi. Ukiachilia Liva kua hawajajiandaa ila uliona Messi alipopiga mpira? Sasa ule ndiyo upande ambao left footer anakua comfortable kupeleka mpira.

Cha mwisho kabisa: hili ni somo basic kwenye mpira, right footer atakua comfortable kumfunga kipa kwa kucurve mpira kwenda kushoto kwa kipa wazia mawinga au striker wa mguu wa kulia wanapocut in na kuscore kama Connolly wa Brighton, Pullisic nishamuona akifanya hivi, James wa United, Neymar au Auba wa Arsenal.

Left footer atakua comfortable kumfunga kipa kwa kucurve mpira kwenda kulia kwa kipa. Hapa unakutana na Sturridge, Salah, Pepe, Ziyech, Mahrez, Di Maria, Pogba alivyotumia left foot kufunga siku wanacheza na Fulham.

Kwahiyo Tielemans, right footer, yupo kwenye move anadrift kushoto Kepa anaenda na move na hata beki anajua huyu atakua comfortable kuleta mpira kushoto kwangu. Tielemans kapiga kulia beki kauzwa na Kepa kauzwa Mendy angefanya nini?

Mashabiki wa chelsea hua nawaita plastic kwa ishu ndogo kama hizi. Hizo ni basics za mpira.

Haya lete reference ya kipa aliyewahi kuzuia shuti kama hilo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom