Fainali?Na ni chance ngapi walizokosa????
Fainali?Na ni chance ngapi walizokosa????
So you are saying anything is possible?Je huko alipotoka historia yake ikoje? tuanzie hapo
Kama issue ni kushindwa kuchukua ucl wakat yuko psg
Mourinho alitoka inter milan kwenda madrid huku akiwa ametoka kuchukua ucl ila wakati yuko madrid hakuwahi kuchukua ucl
Pep alitoka barcelona kwenda bayern munich lakin wakat akiwa yuko munich hakuwahi kufika hata fainal ya uefa ila baada ya kuondoka bayern wakachukua ucl
Na HazardKwa hiyo Jana madrid wasingempanga Curtois.
Walah wangekuga goal nyingi usingeamini.
Unafikiri mchezo zidane mwenyewe alimpigia makofiMwenetu yule..mda wote anarudi
Hata kama usingekuwa Chelsea, matusi huwa sio sehemu ya michezo. Mi huaa hata siwajibu, namwongeza tu kwenye ignore list so sioni posts zake. Problem solvedDaah...! Mkulungwa mi ni mshabiki halisi kabisa wa timu ya Chelsea.
Nilimnukuu huyo Jamaa jana nikitaka ajione alivyoaibika baada ya ushindi wa mechi ya jana dhidi ya Real Madrid.
Umenikosea heshima uliponitukana mimi.
Luiz alikuwa bado yuko Chelsea wakati wa fainali za BAKUPamoja na Luis![]()
ThubutuTT bonge la kocha fainali mbili mfulilizo. This time around yeye na Thiago wanabeba ndoo.
phoden unampa nani?Chelsea imewahi kubeba kombe la UEFA man shit bado. Man shit anaingia km underground au armature... Kwahiyo usijidanganye kuongoza ligi ukajiona ktk UEFA wewe ni mbabe. Yaani wewe ni kibonde tu ktk UEFA na ndio sbbu baada ya kitinga fainali timu lako limeweka pati ya kufa mtu wakishangilia kuingia fainali km wamebeba ndoo. Maana kwao ni vitu vigeni na ndio mara ya kwanza.
Chelsea tumeingia fainali mara tatu. Mara moja tulipoteza mara ya pili tulibeba ndoo.
Nusu fainali tumeingia sn tu yaani Mara nyingi sn. Sasa kazi kwako kujishebedua.
Jmosi nakuja Etihad ndio biashara iliyopo mbele yangu ukijitahidi sn utapata sare.. Hao kina Stone na Diaz nawakabizi Kai ma Werner na Pulisic lazima wakalale na viatu.
Atajutia tu subiri uoneTT na Silva watinga UCL final mara mbili consecutively na timu mbili tofauti
Silva hatajutia kusaini Chelsea
Mendy, je? Zile saves alizofanya zingekuwa magoli ingekuwaje:Match ya Chelsea Jana ni watu wanne walioipa ushindi
Silva, Rudiger, Kante na Kai
Kwa sasa chelsea wanakosa Finisher yule Timo ni kiungo zaidi kuliko mshambuliaji Jana angeanza giroud habari ingekuwa nyingine au chelsea wangekuwa na Aguero mechi ingeisha mapema tu
Beaten by Big Sam 😉Huyo ndio Thomas Tuchel.
Bado tu watu wanatupigua kelele humu? Next Saturday tunamkalisha tena Man CityView attachment 1775008