ryana fan
JF-Expert Member
- Apr 27, 2018
- 2,632
- 3,063
Jana nilikuwa naomba Mungu tuu Kante awe kwenye ubora wake kwa sababu Kroos na Modric walipania sana game, majamaa wamejuta kukutana na binadamu mwenye mapafu ya farasi [emoji23]
Ha ha hahaaaaa. Kante was Every whare in the pitch. Ng’olo Kante