Mabadiliko ni haya
--+----Ederson
Walker. --Stone. ---Dias ---zincheko
Rodrigo --Bernardo--- gundogan
Mahrez--- kdb--- foden.
Angalia mabadiliko hayo ,tukisema tucheze bila striker full pressing kwenye game hicho ndio kikosi cha city ....
Sasa kama mnadhan mliifunga city ..
Tukutane final
Narudia tena ,kama mliifinga city njoooni final kudadeeeeeeeeki tuwaoneshe mpira wa kitabuni ambao hadi PSG walijuta kuingia uwanjan ....
Come on city


Mabadiliko ni haya
--+----Ederson
Walker. --Stone. ---Dias ---zincheko
Rodrigo --Bernardo--- gundogan
Mahrez--- kdb--- foden.
Angalia mabadiliko hayo ,tukisema tucheze bila striker full pressing kwenye game hicho ndio kikosi cha city ....
Sasa kama mnadhan mliifunga city ..
Tukutane final
Narudia tena ,kama mliifinga city njoooni final kudadeeeeeeeeki tuwaoneshe mpira wa kitabuni ambao hadi PSG walijuta kuingia uwanjan ....
Come on city
Jibu swali basi na uache ngonjera nyingi
Sisi tulifanya mabadiliko ngapi, tumewawekea Kepa golini akatoka na clean sheet


Tunamaliza half time leo tukiwa tunaongoza goal 1 mark my words
Tungekua karibu ningekuambia tuweke dau


naona roho inakuuma balaa

Thomas ni kocha wa ajabu kuwahi kutokea, leo mnakufa kwa ujinga wa kuanzisha wakabaji

Kai kacheza vizuri, goli la Timo yeye ndio alikuwa mpishi, Kai kamdhibiti Ramos hafurukuti mpaka kidogo kai apewe njano kwa kumpush RamosHuyu Kai aache masikhara kwenye u serious