Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Mabadiliko ni haya


--+----Ederson

Walker. --Stone. ---Dias ---zincheko


Rodrigo --Bernardo--- gundogan


Mahrez--- kdb--- foden.


Angalia mabadiliko hayo ,tukisema tucheze bila striker full pressing kwenye game hicho ndio kikosi cha city ....


Sasa kama mnadhan mliifunga city ..

Tukutane final


Narudia tena ,kama mliifinga city njoooni final kudadeeeeeeeeki tuwaoneshe mpira wa kitabuni ambao hadi PSG walijuta kuingia uwanjan ....


Come on city

Kwan siku ile Chelsea imecheza FA ilicheza na timu gani?
Acha wenge we jamaa. Tuchel amemfunga Gadiola ful stop hayo mengine ni defensive mechanism ya fans tu
 
Mabadiliko ni haya


--+----Ederson

Walker. --Stone. ---Dias ---zincheko


Rodrigo --Bernardo--- gundogan


Mahrez--- kdb--- foden.


Angalia mabadiliko hayo ,tukisema tucheze bila striker full pressing kwenye game hicho ndio kikosi cha city ....


Sasa kama mnadhan mliifunga city ..

Tukutane final


Narudia tena ,kama mliifinga city njoooni final kudadeeeeeeeeki tuwaoneshe mpira wa kitabuni ambao hadi PSG walijuta kuingia uwanjan ....


Come on city

Hata FA ulisema ivo ivo bila kujua kuwa mpira ni dakika 90.
 
Huyu Kai aache masikhara kwenye u serious
Kai kacheza vizuri, goli la Timo yeye ndio alikuwa mpishi, Kai kamdhibiti Ramos hafurukuti mpaka kidogo kai apewe njano kwa kumpush Ramos
Tatizo la Chelsea ni pale katikati, viungo wameshindwa kuichezesha timu mpira uko kwa Real Madrid muda mwingi
 
Hawa madogo mbona wanakosa magoli kifala hivi daah, hivi giroud yupo wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom