Utadhani siku tunawapiga tatu hakuwepo.Kante ni wachezaji wote wa Arse8 na benchi lote la ufundi..
Haya tufanye hakuwepo. West Bromwich wanasemaje?
Utadhani siku tunawapiga tatu hakuwepo.Kante ni wachezaji wote wa Arse8 na benchi lote la ufundi..
Bado haujafikia level inayohitajika. Tulia jipe muda.Acha uzwazwa majeruhi ni nani na nani ambao wangeleta ushindi acha kua bumunda
Mh uongo tu. Wanaume mnapigwa bao ambazo hata mwanamke hapigwi!? Nyinyi wanaume au mnazuga?Ukweli upi mkuu. Hii thread ni ya wanaume wa UEFA. 🤪🤪🤪
Chelsea si striker tu ndiyo tatizo, hivi huoni hata kwa akili ya kawaida sana pengo la Hazard na Fabregas lipo ktk kutengeneza pasi za mwisho kushinda ili mechi?Yote uliyotaja hakuna Sifa hata MOJA ya Striker.. Kazi ya striker ni moja tu kutumia nafasi Kufunga magoli.. na akishindwa kufunga yeye awe ametoa pasi ya mwisho kwa mtu mwenzake kufunga..kama Werner ndo Bora kuzidi Walioko benchi basi Kubali Chelsea tuna Tatizo kubwa na hatuna striker.. sababu Werner Hafai na hana sina.. striker hawezi pata Nafasi3 za wazi akakosa Goli hata 1..
Huyo Giroud alikuwa anatengenezewanafasi nyingi tu pale Arsenal, final assist passes 10 anaweka goli 1 na kibaya zaidi hajui kukaba na hataki hata kukaba. Akiingiaga tu huyo Giroud huwa nahesabu timu ya Chelsea inacheza pungufu/wachezaji 10 badala ya 11.Na kwa upuuzi huu wa kutafuta nafasi 10 ili tufunge moja, hatutakaa tubebe hata kikombe cha kahawa. TT nae sijui analiwa kichuli na Wener, haiwezani mtu anakosa magoli hovyo then Giroud yupo nje, angekua Giroud yupo ndani game ilikua imeshaisha.
Kwa abraham anafaa kwani abraham vs Arsenal emirates alifungaje au wolves si kwa counter attackMpira wa counter hauhitaji striker wa aina ya Giroud au Abraham.
Labda kama tutacheza mpira wa aina nyingine.
Kuna mtangazaji mmoja akahaki na kusema Kante hii pumzi anaitoa wapi. Yeye yupo kila mahali na saa nyingine anausoma mpira mpaka maadui wanampasia yeye sio kwa kupenda ila kwa kusoma saikolojia kuwa sasa jamaa anapeleka mpira kipande hii anaenda huklo kukutaana na pasi isiyo yakeIla Kante kawa mtamu ni balaa. Yaani Kante kwasbbu anao uwezo wa kukimbia sn basi anamuacha Jorginho chini yeye anatembea kila mahali... Kante ni kiboko jana kawasumbua sn Madrid. Kante na Pulisic hawa watu ni hatari sn
Hichi wengi hawakioni. Ndio maana wanbaki kulaumu tu kwanini Werner anapangwa. Mpira unaochezwa ni Counter attacks tu na ndio sbbu Pulisic na Werner ndio wanao anza mara kwa maraMpira wa counter hauhitaji striker wa aina ya Giroud au Abraham.
Labda kama tutacheza mpira wa aina nyingine.
November 2019, dakika ya 4, Mount anamtengenezea passi Jorginho ambaye naye bila kutuliza alimfanyia counter Tammy na kufunga bao zuri la ligi dhidi ya Watford. Tatizo watu wanaongea bila ya kumbukumbu.Kwa abraham anafaa kwani abraham vs Arsenal emirates alifungaje au wolves si kwa counter attack
Mnatoka draw mnatamba nyie takataka ..
Subili next week ndio mwisho wenu ...
Antonio Conte Kwa Abraham anafit sijui kwanini apangwi labda umemsahau mbona magoals mengi Abraham kafunga kwa counter attack.Hichi wengi hawakioni. Ndio maana wanbaki kulaumu tu kwanini Werner anapangwa. Mpira unaochezwa ni Counter attacks tu na ndio sbbu Pulisic na Werner ndio wanao anza mara kwa mara
Pulisic anao uwezo w kupunguza mabeki ni tofauti na werner,Pulisic na Werner hawapaswi kuanza pamoja kwa maoni yangu. Wana uchezaji unaofanana japo kasi zinatofautiana! Mount hana mpinzani kwa sasa!
AIsee wacha kumshushia Kane thamaniUza Abraham + Giroud + Batshuayi, nunua Harry Kane.
HONGERENI THE BLUES KWA MATOKEO MAZURI UGENINI.
Tuko vizuri sana.
#Pride of London.
Levy ndio muhuni refer deal la modric kabla hajaenda madridWerner - Kane - Pulisic
Pulisic - Kane - Mount
Werner - Kane - Mount
Hivi kweli big Boss Abromovich anashindwaje kumng'oa Kane pale Tote?
Ampige na €120M levy usoni.
Tufanye tuu huu usajili mmoja dirisha kubwa. FULL STOP
Huyu abraham alihisi nafasi yake ni ya kudumu akahisi hata akitoka kwenye majeruhi atarudi kikosini mara moja,inabidi apambane mazoezini wakina crouch walikuwa warefu lakini walikuwa wanastamina, yeye urefu hata kwa crouch hajaufikia lakini mlaini kama mlendaKwa mbinu za TT ni caliber kubwa sana kwa Abraham, viatu havimtoshi. Lampard alikuwa anafundisha mpira wa Academy.
Nadhani Abraham ahamie club za championship ndio caliber yake huko atafunga magoli mengi.
Gemu ya jana ushindi ulikuwa dhahiriUmeenda mbali, Magoli anayokosa Werner hata Batsuayi hakosi
Lakini wote sio clinical kwenye kufunga na ni wazuri kwenye ku drive mashambuliziPulisic anao uwezo w kupunguza mabeki ni tofauti na werner,
PSG Leo atajuta kuingia uwanjan ..Kamalizane kwanza na PSG ndiyo uje hapa ukoment chochote.
PSG Leo atajuta kuingia uwanjan ..
Tunaenda kuwapelekea moto huko huko Paris ..!


umeshashiba futari unaanza kujifariji