Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,787
- 2,233
Nani kapona wanakuja machinjioniMmepona
Nani kapona wanakuja machinjioniMmepona
Madrid yenye majeruhi mmeshindwa kuipiga.Nani kapona wanakuja machinjioni
Madrid yenye majeruhi mmeshindwa kuipiga.
Imecheza 3 5 2 formation ngeni kwao dhidi ya timu ambayo mara zote imetumia huo mfumo. Matokeo yake ni kuzidiwa possession, mashuti jumla ni 12 kwa 9 if anything chelsea mmekaba vizuri.
Next game itakua all out war hatojali juu ya majeruhi ni 4 3 3 holding tu. West Bromwich managed to score 5 goals Madrid atawafikiria.
Arsenal haina mpango wa kutoka nafasi ya 10 acha ramli chonganishi. Kwahiyo umekasirika mimi kusema ukweli?Huna jipya na Ramli zako. Kapambane kwanza na Arsenal Yako utoke nafasi ya kumi uliopo ndiyo uje uongee na wanaume hapa
Magoli aliyokosa Werner hata Ramires au Malouda hawakosi, achilia mbali Diego Costa.Tenga mbili za migebuka na timo Werner unachukua nini?
Westbrom walitupiga 5 kwa sababu ya kadi nyekundu tulioipata first half kabla ya hiyo nyekundu sisi ndio tuliodominate mchezoMadrid yenye majeruhi mmeshindwa kuipiga.
Imecheza 3 5 2 formation ngeni kwao dhidi ya timu ambayo mara zote imetumia huo mfumo. Matokeo yake ni kuzidiwa possession, mashuti jumla ni 12 kwa 9 if anything chelsea mmekaba vizuri.
Next game itakua all out war hatojali juu ya majeruhi ni 4 3 3 holding tu. West Bromwich managed to score 5 goals Madrid atawafikiria.
Mh hii sababu ni mbaya.Westbrom walitupiga 5 kwa sababu ya kadi nyekundu tulioipata first half kabla ya hiyo nyekundu sisi ndio tuliodominate mchezo
Ebu kuwa serious kidogo tumempata first half sio second half alafu pia west brom ni wazuri sio wabovu wamepata matokeo mazuri dhidi ya man city, Liverpool, Tottenham.Mh hii sababu ni mbaya.
Kuna timu nyingi zimepata red na hazijafungwa tano.
Pia chelsea ina wachezaji ambao mmoja ni wachezaji wawili wa West Brom. Ndiyo maana mlidominate game muda wote mkazidiwa magoli
Umeenda mbali, Magoli anayokosa Werner hata Batsuayi hakosiMagoli aliyokosa Werner hata Ramires au Malouda hawakosi, achilia mbali Diego Costa.
Kumbukumbu zangu zinaniambia huko kote walipata suluhu. Kwenu wamewafunga nje ndani.Ebu kuwa serious kidogo tumempata first half sio second half alafu pia west brom ni wazuri sio wabovu wamepata matokeo mazuri dhidi ya man city, Liverpool, Tottenham.
Raha ya Arsenal fans sasa hivi ni kusemea timu zingine, mafanikio ya Chelsea inawatoa nyongo sioKumbukumbu zangu zinaniambia huko kote walipata suluhu. Kwenu wamewafunga nje ndani.
Anyway, ndiyo mpira ulivyo. Next week tuone itakavyokua.
FA hambebi.Raha ya Arsenal fans sasa hivi ni kusemea timu zingine, mafanikio ya Chelsea inawatoa nyongo sio
FA tunabeba
UCL tunabeba na May 12 tutakuwa na jambo nanyi hapa hapa kwetu darajani
hakikisha unainama ukivuaMkimfunga Madrid navua nguo zote natembea utupu kutoka dar mpaka morogoro ...
Hii takataka Chelsea ndio imfunge Madrid kudadddddddeki ..!
JumongTenga mbili za migebuka na timo Werner unachukua nini?

Kasi ya Timo ni nzuri na ina faida kama kuna mtu kama Giroud au Tammy wa kuzamisha wavuni. Sijaelewa bado kwa nini ticha huaa anawapanga Pulisic na Werner, au Havertz na Werner. Hawa wote wazuri sana kusukuma mipira na kutia pressure ila sio kufunga. Nadhani Kai, Werner na Pulisic hawapaswi kucheza pamoja ila wachanganywe na Ziyech, Tammy au Giroud, ili mikimbio na dribbles zizae matunda.Chance tunazotengeneza tunapokuwa na werner huwa nyingi kulinganisha na anapokuwa giroud or tammy na hichi ndicho kinachotusumbua
Hahahaaaa dah. Poleni sana aisee. Wengine tunakipiga japo uzee na majukumu yameshatutinga. Ingawa bado ni rahisi kukosoa kuliko kufanya mwenyewe. 🤣🤣🤣🤣Humu wengine hata dana dana tano hawezi ila macritic sana TW anafanya kazi yake vizuri
Ngoja niangalie kama Kovacic atakuwepo...Madrid yenye majeruhi mmeshindwa kuipiga.
Imecheza 3 5 2 formation ngeni kwao dhidi ya timu ambayo mara zote imetumia huo mfumo. Matokeo yake ni kuzidiwa possession, mashuti jumla ni 12 kwa 9 if anything chelsea mmekaba vizuri.
Next game itakua all out war hatojali juu ya majeruhi ni 4 3 3 holding tu. West Bromwich managed to score 5 goals Madrid atawafikiria.