Hapa tunaongelea Giroud wa Chelsea, achana alivyokua kwa hao wendawazimu na yeye lazima alikua mwendawazimu. Halafu kazi ya Giroud ni kufunga au kukaba? Tuseme sasa Mendy ni mchezaji mbaya kwa kuwa hafungi.Huyo Giroud alikuwa anatengenezewanafasi nyingi tu pale Arsenal, final assist passes 10 anaweka goli 1 na kibaya zaidi hajui kukaba na hataki hata kukaba. Akiingiaga tu huyo Giroud huwa nahesabu timu ya Chelsea inacheza pungufu/wachezaji 10 badala ya 11.
