Antonio Conte
JF-Expert Member
- Dec 6, 2017
- 1,089
- 1,748
Ila Kante kawa mtamu ni balaa. Yaani Kante kwasbbu anao uwezo wa kukimbia sn basi anamuacha Jorginho chini yeye anatembea kila mahali... Kante ni kiboko jana kawasumbua sn Madrid. Kante na Pulisic hawa watu ni hatari snNgoja niangalie kama Kovacic atakuwepo...

