Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,633
- 38,733
Huyu dogo tumepigwa...
Hakusajiliwa Chelsea Ili Akimbie kimbie.. Nawashangaa Sana wanaomtetea huyu Mpumbavu..Pamoja na kukosa magoli kwa Timo Werner bado jamaa ni msumbufu sn kwa uwezo wake wa kukimbia. Mabeki leo wa Madrid wamepata tabu sn. Jamaa anakimbia sn akisaidiwa na dogo Pulisic. Hawa jamaa wanakimbia sn. Beki za Madrid zilikuwa zinatoa kamasi tu kutokana na hawa jamaa wanavyokimbia
Sifa ya namba 9 ni kufunga magoli sio kukimbia na mpira watazame washambuliaji hatare walikua awana ayo mambo ya mawingaPamoja na kukosa magoli kwa Timo Werner bado jamaa ni msumbufu sn kwa uwezo wake wa kukimbia. Mabeki leo wa Madrid wamepata tabu sn. Jamaa anakimbia sn akisaidiwa na dogo Pulisic. Hawa jamaa wanakimbia sn. Beki za Madrid zilikuwa zinatoa kamasi tu kutokana na hawa jamaa wanavyokimbia
Lile jamaa mida yote huwa anajikomba kwa wanaume/washabiki wa Chelsea ingawa sisi huwa hatuhangaiki naye hata na bado tu hata hashtukiNamtafuta pain Killer. Kesho ajiandae kwa PSG![]()
Yaani tumepigwaHuyu dogo tumepigwa...View attachment 1765953
Kweli kabisa, sijui kwanini alisajiliwa ilihali timu ya taifa lake na klabu aliyotokea huwa alikuwa akifanya vizuri tu.Huyu dogo tumepigwa...View attachment 1765953
Chance tunazotengeneza tunapokuwa na werner huwa nyingi kulinganisha na anapokuwa giroud or tammy na hichi ndicho kinachotusumbuaGiroud ni mzuri wa kufunga yupo benchi. Usishangae akaingia Havertz Giroud akabaki benchi ilhali Kai hafungi. Kwangu bora Tammy kwenye kufunga kuliko Havertz. Kai ana drive timu vizuri ila sio mfungaji. Kama ndugu yake Timo tu
Ujue wakina tammy n giroud wanawekwa bench kwa sababu hawa ni watu wanaotaka kutafuniwa ndio maana ukiangalia mechi nying tulizocheza na giroud or tammya huwa atutengenezi nafas za kufunga sana tunakalia cross tu ni tofauti na anapokuwa werner anaweza kuwa anakosa goals ila uwepo wake unatupa advantage kwenye kutengeneza nafasi za kufunga kwa sababu ya ile speed yakePamoja na kukosa magoli kwa Timo Werner bado jamaa ni msumbufu sn kwa uwezo wake wa kukimbia. Mabeki leo wa Madrid wamepata tabu sn. Jamaa anakimbia sn akisaidiwa na dogo Pulisic. Hawa jamaa wanakimbia sn. Beki za Madrid zilikuwa zinatoa kamasi tu kutokana na hawa jamaa wanavyokimbia. Na hii ndio sbbu Giroud na Tammy wanawekwa benchi maana wao hawana uwezo wa kukimbia sn
wachambe haoooo!!!Humu wengine hata dana dana tano hawezi ila macritic sana TW anafanya kazi yake vizuri
Yote uliyotaja hakuna Sifa hata MOJA ya Striker.. Kazi ya striker ni moja tu kutumia nafasi Kufunga magoli.. na akishindwa kufunga yeye awe ametoa pasi ya mwisho kwa mtu mwenzake kufunga..kama Werner ndo Bora kuzidi Walioko benchi basi Kubali Chelsea tuna Tatizo kubwa na hatuna striker.. sababu Werner Hafai na hana sina.. striker hawezi pata Nafasi3 za wazi akakosa Goli hata 1..Ujue wakina tammy n giroud wanawekwa bench kwa sababu hawa ni watu wanaotaka kutafuniwa ndio maana ukiangalia mechi nying tulizocheza na giroud or tammya huwa atutengenezi nafas za kufunga sana tunakalia cross tu ni tofauti na anapokuwa werner anaweza kuwa anakosa goals ila uwepo wake unatupa advantage kwenye kutengeneza nafasi za kufunga kwa sababu ya ile speed yake
Chelsea inahitaji Striker wa kaliba ya Kane au Son. Ndio maana Abraham na Giroud hawafit kwenye mfumo wa Tuchel. Mbona hili lipo wazi kabisa?Hakusajiliwa Chelsea Ili Akimbie kimbie.. Nawashangaa Sana wanaomtetea huyu Mpumbavu..
Ndio maana TT alimuambia asilazimishe kufunga,Kwamweli uyu jamaa mimi nimeanza kumchoka kwa nafasi muhimu anazopoteza yaani unakosa Open Goal tetena hapo ata nafasi ya kutuliza alikua nayo View attachment 1765911
Na kwa upuuzi huu wa kutafuta nafasi 10 ili tufunge moja, hatutakaa tubebe hata kikombe cha kahawa. TT nae sijui analiwa kichuli na Wener, haiwezani mtu anakosa magoli hovyo then Giroud yupo nje, angekua Giroud yupo ndani game ilikua imeshaisha.Yote uliyotaja hakuna Sifa hata MOJA ya Striker.. Kazi ya striker ni moja tu kutumia nafasi Kufunga magoli.. na akishindwa kufunga yeye awe ametoa pasi ya mwisho kwa mtu mwenzake kufunga..kama Werner ndo Bora kuzidi Walioko benchi basi Kubali Chelsea tuna Tatizo kubwa na hatuna striker.. sababu Werner Hafai na hana sina.. striker hawezi pata Nafasi3 za wazi akakosa Goli hata 1..