Chelsea isifanye makosa Tena kwa muuza Tammy Abraham bado namuona Tammy Abraham ni mchezaji mzuri kocha amuamini kama anavyomuamini Werner atatulipa.Kuna watu wametengeneza scenario kwamba Tammy Abraham hawezi kucheza under TT lakini wanajisahau kwamba Tammy kafunga magoal mengi ya counter attack kwa Giroud sawa yupo slow so hawezi kucheza chini ya TT lakini si kwa Abraham tatizo ni kutopewa nafasi za kucheza lakini Tammy ni mzuri kujiposition na ni clinical finisher mzuri na ana kasi na anajua kukimbia behind ya defenders
Cash Money Forever
Antonio Conte
Hazard CFC
hazard Don
lembu
Mkohoti
Cash Money Forever
Antonio Conte
Hazard CFC
hazard Don
lembu
Mkohoti
