Hamna kitu. Ni uzoefu wa Benzema umewapa goli. Lakini leo mnabanikwa na kuliwa na chips mayai 🤣🤣🤣Madrid tumeanza
Mfungaji mwenyewe yuko wapi sasaUbovu wa RM ni kule nyuma, nguvu ya RM iko mbele kwa akina Vinicous Junior na Benzema, wako very clinical
Chelsea itumie ubovu wa nyuma kufunga magoli mengi ili wakitufunga tuwazidi magoli. Hii ndio mpira, mpira ni magoli
Wewe bhana werner atoke kwanza ndiyo uongee ayoHamna kitu. Ni uzoefu wa Benzema umewapa goli. Lakini leo mnabanikwa na kuliwa na chips mayai![]()
Mchezo ukiendelea hivi kuna uwezekano wa kuingia Giroud, Ziyech na Odoi ili kuongeza kasi na kupata MagoliWewe bhana werner atoke kwanza ndiyo uongee ayo
Giroud ni mzuri wa kufunga yupo benchi. Usishangae akaingia Havertz Giroud akabaki benchi ilhali Kai hafungi. Kwangu bora Tammy kwenye kufunga kuliko Havertz. Kai ana drive timu vizuri ila sio mfungaji. Kama ndugu yake Timo tuKukosa striker wa uhakika kunatucost sana chelsea hvi si tuvunje Bank tu tumlete Kane pale daahh! Hii game yetu kbisa ila tutatolewa kwa kutotumia chances vizuri
Halafu hizi ndo game za Giroud sasa tena kwa beki za Madrid anazimudu kabisa pale mbeleGiroud ni mzuri wa kufunga yupo benchi. Usishangae akaingia Havertz Giroud akabaki benchi ilhali Kai hafungi. Kwangu bora Tammy kwenye kufunga kuliko Havertz. Kai ana drive timu vizuri ila sio mfungaji. Kama ndugu yake Timo tu
Labda anamtunza kwa mechi ya home. Ngoja tuone. So far sio mbaya. Suluhu tasa tunasonga mbele. Ushindi tunasonga mbeleHalafu hizi ndo game za Giroud sasa tena kwa beki za Madrid anazimudu kabisa pale mbele
SioufiriweReal Madrid nitombeeni hizi nguruwe mkojoe raundi tatu, warudi darajani la wami wakafue boxer zao.
Kwamweli uyu jamaa mimi nimeanza kumchoka kwa nafasi muhimu anazopoteza yaani unakosa Open Goal tetena hapo ata nafasi ya kutuliza alikua nayo View attachment 1765911