Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,649
We acha tu mkuu yalisemwa mengi oh eti wale wazee mara oh eti chelsea haijawahi kuchukua kombe sasa yako wapi?
Watu hawawezi kuacha kusema.......Hata Man U walijua ubingwa wa 2012 ni wao ila ola...waliambulia machozi!!
Kwa kweli mwaka huu umekuwa bomba sana kwani wasiotegemewa wameibuka na kufanya maajabu!!