Saa tatu na dakika 45 saa za tanzania.machi inąnza sąa ngapi wakuu wk hii nilibanwa sana na kazi
Wadau wote mliochangia hapo juu I ask you to mark my words, CHELSEA IS A CHAMPIONS LEAGUE WINNER THIS SEASON, if a football giants barcelona agrees why not bayern?
Chelsea fans all over the world let's has started to have a party as early as possible, we are going to beat bayern and amazing the world once again as we did to barcelona
Chelsea Ze Blauz leo wanakula 4-1,chezea Bavarian weye
Miamba ya Soka barani ulaya unaijuwa wewe?
Miongoni mwao Barca ipo?
Miamba ya soka inabeba Champions League bila fununu ya mkono wa Refa kuanzia hatua ya awali mpaka fainali.
Miongoni mwa miamba ya Soka yupo Los Blanco na Rosonelli.
ths ****, wewe hujui mpira period!
Nilichogunduwa kwenye thread hii ni kama makutano ya mazuzu yasiyojuwa chochote kuhusu soka kwamba soka ni dakika 90. Football is unpredictable Game.
FULL TIMe: BAYERN MUNICH 3-0 CHELSEA !
Nilichogunduwa kwenye thread hii ni kama makutano ya mazuzu yasiyojuwa chochote kuhusu soka kwamba soka ni dakika 90. Football is unpredictable Game.
Gang Chomba huyoooooooooooo
Bahati mbaya mimi siyo mshabiki wa Chelsea wala Bayern Munchen, ila unavyoonekana hakuna lolote unalolijuwa katika soka zaidi ya kubwabwaja tu.Hata soka ingekuwa robo saa, then Chelsea wawe 13 na Bayern wawe 11 still Chelsea watachutama.
Bahati mbaya mimi siyo mshabiki wa Chelsea wala Bayern Munchen, ila unavyoonekana hakuna lolote unalolijuwa katika soka zaidi ya kubwabwaja tu.
Wao hao wenyewe Bayer ukiwauliza hiyo mechi wanajuwa Manchester United iliwafanya nini ndani ya dakika 2 mwaka 1999. ndio maana sina muda wa kupiga kelele za mpira na watoto show.