Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Hongera wanangu wa Blues kwa Ushindi kwa Kuifunga ATM; ilikuwa ni furaha sana kwetu japo iliingiliwa na huzuni kwa Tanzia iliyoikumba Taifa letu!

Poleni sana WaTanzania wenzangu na Dunia nzima Kwa Ujumla kwa kumpoteza Kiongozi Imara na Jasiri JPM! Mungu ampumzishe Mahali pema Peponi
 
Dear Tuchel[emoji2297][emoji174]
Honeymoon is over

Next 6 Games

Atletico (A)......[emoji777]
Man Utd (H). [emoji777]
Liverpool (A). [emoji777]
Everton (H). [emoji777]
Leeds (A). [emoji777]
Atletico (H). [emoji777] Then out of champions league
Hahaha hili takataka sijui litakuwa na khali gani huko[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chelsea vs Atletico Madrid Player Ratings
  1. Edouard Mendy: 8/10
  2. Cesar Apilicueta: 7/10
  3. Kurt Zouma: 8/10
  4. Antonio Rudiger: 9/10
  5. Reece James: 8/10
  6. N’Golo Kante: 9/10
  7. Mateo Kovacic: 8/10
  8. Marcos Alonso: 7/10
  9. Hakim Ziyech: 8/10
  10. Kai Havertz: 8/10
  11. Timo Werner: 8/10
Substitutes Ratings
  1. Christian Pulisic: 6/10
  2. Callum Hudson-Odoi: 6/10
Kovacic na Rudiger wamepiga kazi kwelikweli lakini hawaimbwi.Ningeambiwa mimi Nani awe man of the match binafsi ningempa Rudiger maana Kante amekuwa man of the match Mara nyingi sana.
 
Dear Tuchel[emoji2297][emoji174]
Honeymoon is over

Next 6 Games

Atletico (A)......[emoji777]
Man Utd (H). [emoji777]
Liverpool (A). [emoji777]
Everton (H). [emoji777]
Leeds (A). [emoji777]
Atletico (H). [emoji777] Then out of champions league
Unajisikiaje ukiingalia hii post. Imagine katika hizo match 6 kashinda nne na kutoa sare mbili tu.
 
3 4 3 hua inamalizwa kwa mid yenye nguvu, CAM mzuri na STs ambao wanaweza kufanya runs ili kuziwahi thru balls, mipira ya counter na kupatuliza katikati. Gameya juzi ya Madrid na Atalanta ni ukumbusho wa jinsi gani 3 4 3 inatepeta kwa wings zenye speed (Vinicius, Lucas) clinical finisher (Benzema) na mid ngumu (Modric na Kroos)

Cholo first leg alicheza 3 4 2 1 akachezewa mpira na kipigo, jana ameingia na 4 4 2 lakini Suarez kapata tabu sana kule mbele, Joao akawa analeta mambo ya juzi ya Vinicius. Kisha gradually Chelsea wakaonekana wamejaa uwanja mzima. Mchezaji wa Atletico akipiga pasi, inaanza kumfikia Kante, Krosi Inaanza kutua kwa Jorginho yaani ikawa hatari.

Anyway, kwa nilichoona jana naamini Arsenal tunaweza kurudia kuchapa tena tatu zingine. Maeneo ambayo Atletico siyo wazuri, kati na pembeni, Arsenal imeendelea kuyapatia ufumbuzi day by day also 3 4 3 siyo silaha ya muda mrefu ni nzuri kuitumia kwa tournaments za siku kadhaa ila siyo milele.

Arsenal tulianza na 3 4 3 baada ya Arteta kuchukua timu ikatufaa kwa muda kisha mambo yakawa si mambo formation ikafumuliwa. Tuchel anajua hili ndiyo maana alijaribu kuswitch kwenda kwenye 4 2 3 1 and the whole team trembled dhidi ya Atletico akarudia 3 4 3.

Mna tatu zetu.
Kajifie mbele wewe.

Arsenal ata mcheze na mizukule hamuwezi kuifunga Chelsea kwa sasaivi


Chelsea ktk game 13 ilizocheza ina wastani wa passes 9 tu kupigwa na opponents kisha wanapora Mpira na kuumiliki wao tena


Wakati huo wao wanacharaza pass mpk 20 ndio wanapoteza mpira. Ndio Arsenal mje mtusumbue kweli?


Chelsea wanakabia juu ktk half ya adui kwa wachezaji 6... Yaani wakipoteza mpira popote walipo wanaanza kuusaka huko huko kiasi unajikuta timu pinzani inapasia mipira kwa Kante....


Yaani tunapiga kila timu saizi ktk EPL
 
Tukubali tusikubali wachezaji wote sasa wanaanza kuwa kwenye form nzuri kuanzi werner mwenyewe, pulisic, ziyech, havertz nk

Tuchel hatakuwa na first 11 labda aamue kuwa rigid kama Lampard. wachezaji wote tulionao wakipangwa lazima tushinde lazime tutoe cleansheet
michezo 13 goli 2 tu tumefungwa na katika hizo 2 goli moja tu kafunga mchezaji wa nje na Chelsea
Chelsea sasaivi wana kikosi kipana sn... Wachezaji wote ni wazuri.... Nasubiri kumuona Bill Gilmour tu na yeye akichezeshwa maana Jana kwa bahati aliyoingia nayo Emerson first touch tu na Goli.... Yaani ni shida kocha atakua an a hang any I kiss huo upande ampange nani ktk hao watatu. Ben, Alonso na Emerson?
 
Mimi hapo nilikuwa namuangalia Kante tu anavyotimua
Kante anakimbia km upepo....


Niliona siku moja Tuchel alipotua darajani aliwaita hao viungo wetu watatu...yaani Kante, Kova na Jorginho


Akawaambia hivi atawatumia wote watatu na kuwapanga lkn itatengemea na opponents, na nguvu ya mpinzani na kile anachotaka siku hiyo kocha kucheza...


Kante ame qualify kila kitu. Iwe game ngumu laini ya vita mieleka Kante amepita. Labda kocha awe anaamua tu kumpumzisha lkn Kante ni unstoppable kabisa ni mfuniko kilaka spider yaani unaweza muita majina yoooote usimalize Kante anatisha na katisha sn.... Gumzo ulaya saizi
 
Tukubali tusikubali wachezaji wote sasa wanaanza kuwa kwenye form nzuri kuanzi werner mwenyewe, pulisic, ziyech, havertz nk

Tuchel hatakuwa na first 11 labda aamue kuwa rigid kama Lampard. wachezaji wote tulionao wakipangwa lazima tushinde lazime tutoe cleansheet
michezo 13 goli 2 tu tumefungwa na katika hizo 2 goli moja tu kafunga mchezaji wa nje na Chelsea

Mkuu sasa naanza kumuelewa Tuchel kuwa Kocha. Kipindi Lampard anapewa timu nilitamani angepewa hata Terry sikumwamini Lamp hata kidogo nikajisemea kimoyo moyo ngoja nione, amepewa wachezaji wazuri. Mwisho wa siku ikawa tofauti. Na ile dhana yangu ikawork.

Tulipopewa tuchel siku saporti kuwa sasa mwarubaini imepatikana darajani. Nikaomba kimoyo moyo ili atuvushe kwenye storm tuliyokuwa nayo. Sasa nimeanza kumwamini Tuchel na kumuona kama kocha mtaalamu. Anajua kusoma timu pinzani.

Tuendelee kumuombea asiwe na wachezaji wake mfukoni. Awaamini na kufanya Rotation jinsi anavyofanya kwa sasa naamini atafika mbali.

Hakika Jana Chelsea walicheza mpira Mkubwa. Kwa waliotazama mpira watakubaliana na mimi.

Kante amerudi kwenye ule ubora wake wa 2017 akiwa chini ya Conte. Big up Ngolo Kante bip up kwa Kourt Zuma big up kwa Zyech big up kwa all timu
 
Atlentico 0 vs Chelsea 1[emoji736]
Chelsea 0 vs Man united 0
Liverpool 0 chelsea 1[emoji736]
Chelsea 1 vs Evaton 0[emoji736]
Leeds 0 vs Chelsea 0
Chelsea 2 vs Atlentico 0[emoji736]

Leteni mechi 6 tena🤪
 
Kante anakimbia km upepo....


Niliona siku moja Tuchel alipotua darajani aliwaita hao viungo wetu watatu...yaani Kante, Kova na Jorginho


Akawaambia hivi atawatumia wote watatu na kuwapanga lkn itatengemea na opponents, na nguvu ya mpinzani na kile anachotaka siku hiyo kocha kucheza...


Kante ame qualify kila kitu. Iwe game ngumu laini ya vita mieleka Kante amepita. Labda kocha awe anaamua tu kumpumzisha lkn Kante ni unstoppable kabisa ni mfuniko kilaka spider yaani unaweza muita majina yoooote usimalize Kante anatisha na katisha sn.... Gumzo ulaya saizi

Rafiki yake Eden Hazard
 
Kumbuka Rudger ilibaki kidogo tuu dirisha la January hii angeuzwa na Lampard, ila alikataa kuondoka anatumukia makataba.

Dirisha kubwa lilopita ilisemekana Kante angeuzwa Psg, Juve au Madrid. Mungu akasaidia akabaki.
Na nakumbuka kulikuwa na tetesi za klop kumtaka...just imagine km angeenda huko na kuwasaidia huko sahv tungekuwa tunatafutana uchawi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom