Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,365
- 21,743
Draw ikitoka mkakutana na sisi wanaume ,ndio mtajua kuwa hamjui...
Tulia we mchumba baba lao Arsenal tunakuja kuwalipia kisasi ndugu zetuAngalia huyu takataka, sijui yupo kwenye khali gani uko[emoji23][emoji23]
Tunadumisha mila nyie wengine mlishashindwaPole, we tulia hapo hapo nafasi ya 10. Mmeamua kumuenzi Diego Maradona.
Pumzika kwa Amani Rais wangu JPM[emoji24][emoji24]
We unafungwa Hadi na nyumbu ndo umfunge Nani😂....lower ur expectations man....ole amexpose tena weakness yenu msimu huu wa pili mfululizo ,....Draw ikitoka mkakutana na sisi wanaume ,ndio mtajua kuwa hamjui...
😀😀 nyie ndo mna tatu zetu mkuu...Acha porojo3 4 3 hua inamalizwa kwa mid yenye nguvu, CAM mzuri na STs ambao wanaweza kufanya runs ili kuziwahi thru balls, mipira ya counter na kupatuliza katikati. Gameya juzi ya Madrid na Atalanta ni ukumbusho wa jinsi gani 3 4 3 inatepeta kwa wings zenye speed (Vinicius, Lucas) clinical finisher (Benzema) na mid ngumu (Modric na Kroos)
Cholo first leg alicheza 3 4 2 1 akachezewa mpira na kipigo, jana ameingia na 4 4 2 lakini Suarez kapata tabu sana kule mbele, Joao akawa analeta mambo ya juzi ya Vinicius. Kisha gradually Chelsea wakaonekana wamejaa uwanja mzima. Mchezaji wa Atletico akipiga pasi, inaanza kumfikia Kante, Krosi Inaanza kutua kwa Jorginho yaani ikawa hatari.
Anyway, kwa nilichoona jana naamini Arsenal tunaweza kurudia kuchapa tena tatu zingine. Maeneo ambayo Atletico siyo wazuri, kati na pembeni, Arsenal imeendelea kuyapatia ufumbuzi day by day also 3 4 3 siyo silaha ya muda mrefu ni nzuri kuitumia kwa tournaments za siku kadhaa ila siyo milele.
Arsenal tulianza na 3 4 3 baada ya Arteta kuchukua timu ikatufaa kwa muda kisha mambo yakawa si mambo formation ikafumuliwa. Tuchel anajua hili ndiyo maana alijaribu kuswitch kwenda kwenye 4 2 3 1 and the whole team trembled dhidi ya Atletico akarudia 3 4 3.
Mna tatu zetu.
Nyinyi mnakufa 3 hiyo second leg. First leg iliwezekana ishindikane sasa hivi?😀😀 nyie ndo mna tatu zetu mkuu...Acha porojo
Yaan Suarez+ João Felix wameshindwaNyinyi mnakufa 3 hiyo second leg. First leg iliwezekana ishindikane sasa hivi?
Kwani tulivyowafunga 3 kwa 1 first leg ilikuaje?Yaan Suarez+ João Felix wameshindwa
Salah, mane, firmino wameshindwa
Richarlison ameshindwa
Son ameshindwa...
Ndo atufunge pepe na magazette..dah hauwez kuwa serious😁
Kijana unahitaji kufungwa?Chelsea hajapoteza mchezo hata mmoja tangu amekuja TT
Tuchel na yeye atafundisha msimu mmoja tu.Bodi ilifanya jambo zuri sana kumtimua Lampard mapema.
Hahaha eti na wewe Arse8 unavimba mbele ya wanaume[emoji23][emoji23][emoji23]Tulia we mchumba baba lao Arsenal tunakuja kuwalipia kisasi ndugu zetu
Timo afungi lakini anatowa ma assist tu[emoji3][emoji3]Ziyech GoalView attachment 1728558
Yani Emerson hapo hajangoja ni mshale shaaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ermason GoalView attachment 1728559