Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 38,383
- 77,257
Ndo usubiri hadi siku ifike. Sasa hivi kua mpoleNa wewe utakojolewa subiri.
Ndo usubiri hadi siku ifike. Sasa hivi kua mpoleNa wewe utakojolewa subiri.
Sisi Arsenal hata tuwe wabovu vipi ila spurs, chelsea na united hua mwendo ni mpera mpera. Huyo tuchel kapigwa tano tano psg mara kibao, kwa chelsea tunafungua sisi dimba.Mlikuwa mnamuonea lampard Tu sasa subirini dawa yenu....😁 Aisee eti Pepe atufunge goli3
We na we unatia aibu.Kajifie mbele wewe.
Arsenal ata mcheze na mizukule hamuwezi kuifunga Chelsea kwa sasaivi
Chelsea ktk game 13 ilizocheza ina wastani wa passes 9 tu kupigwa na opponents kisha wanapora Mpira na kuumiliki wao tena
Wakati huo wao wanacharaza pass mpk 20 ndio wanapoteza mpira. Ndio Arsenal mje mtusumbue kweli?
Chelsea wanakabia juu ktk half ya adui kwa wachezaji 6... Yaani wakipoteza mpira popote walipo wanaanza kuusaka huko huko kiasi unajikuta timu pinzani inapasia mipira kwa Kante....
Yaani tunapiga kila timu saizi ktk EPL
Usiku wa leo itabidi uende jukwaa la united kucheka.Mkuu siyo muda wa kucheka ngoja nitunze hiki cheko mpaka tarehe 2 mwezi ujao.
Tupo kwenye maombolezo wa kitaifa[emoji24][emoji24][emoji24]
Lampard ni kocha mzuri kuliko tuchel kwa maoni yangu kilichomvuruga ni kuletewa watu ambao yeye hakuwataka na hakujua kama wanakuja.Yule alikua Lamps kivuruge. Tutavuruga kila kitu
Jamani mbona mnakua kama hamjui haya mambo. Ingizo jipya la kocha au mchezaji hubusti morali ya timu, ni kawaida.Mlimfunga Lampard na si Tuchel mkuu tofautisha Chelsea ya Tuchel na ya Lampard
Jipe moyo kk itashinda😁Sisi Arsenal hata tuwe wabovu vipi ila spurs, chelsea na united hua mwendo ni mpera mpera. Huyo tuchel kapigwa tano tano psg mara kibao, kwa chelsea tunafungua sisi dimba.
Ile siku kabla ya mechi nilikua namuambia mwenzenu Southern Highland kwamba leo tunawapiga tatu. Akanitajia lampard na watu wengine wa chelsea kwamba haiwezekani.Jipe moyo kk itashinda😁
Hawa wachezaji anaowafundisha Tuchel sasa chelsea..Kwan ndo hao aliowataka? Tuchel kamzidi pakubwa lampard Kwa kuwatumia wachezaji ambao lampard hakuwataka kama unavyosema..lampard alikuwa young developing coach with lesser experience compared to Tuchel....lampard akifungwa mara ataswitch kwenda mfumo mwingine au kuleteana bifu na wachezaji...yaan alikuwa kama anajifunzia kupitia chelseaLampard ni kocha mzuri kuliko tuchel kwa maoni yangu kilichomvuruga ni kuletewa watu ambao yeye hakuwataka na hakujua kama wanakuja.
Goli chache tatu.
Mourinho analeteana bifu na wachezaji na timu inapafom. Striker unakosa magoli mengi ndani ya mechi moja ubembelezwe ili iweje?Hawa wachezaji anaowafundisha Tuchel sasa chelsea..Kwan ndo hao aliowataka? Tuchel kamzidi pakubwa lampard Kwa kuwatumia wachezaji ambao lampard hakuwataka kama unavyosema..lampard alikuwa young developing coach with lesser experience compared to Tuchel....lampard akifungwa mara ataswitch kwenda mfumo mwingine au kuleteana bifu na wachezaji...yaan alikuwa kama anajifunzia kupitia chelsea
Alisema pia atamchezesha kwa uangalifu mkubwa ili asiingie kwenye majeruhi kama ilivyotokea kwa LampardKante anakimbia km upepo....
Niliona siku moja Tuchel alipotua darajani aliwaita hao viungo wetu watatu...yaani Kante, Kova na Jorginho
Akawaambia hivi atawatumia wote watatu na kuwapanga lkn itatengemea na opponents, na nguvu ya mpinzani na kile anachotaka siku hiyo kocha kucheza...
Kante ame qualify kila kitu. Iwe game ngumu laini ya vita mieleka Kante amepita. Labda kocha awe anaamua tu kumpumzisha lkn Kante ni unstoppable kabisa ni mfuniko kilaka spider yaani unaweza muita majina yoooote usimalize Kante anatisha na katisha sn.... Gumzo ulaya saizi
Frank Lampard, 19 January:Lampard ni kocha mzuri kuliko tuchel kwa maoni yangu kilichomvuruga ni kuletewa watu ambao yeye hakuwataka na hakujua kama wanakuja.
Goli chache tatu.
Tusitishiane makocha.Frank Lampard, 19 January:
"Chelsea is not a club that's ready to compete."
Thomas Tuchel, 17 March:
“We are in the draw (for UCL Quarter Finals) and I am pretty sure no one wants to play against us."
Hapo kwa everton alikufa goal 2 sio 1Atlentico 0 vs Chelsea 1[emoji736]
Chelsea 0 vs Man united 0
Liverpool 0 chelsea 1[emoji736]
Chelsea 1 vs Evaton 0[emoji736]
Leeds 0 vs Chelsea 0
Chelsea 2 vs Atlentico 0[emoji736]
Leteni mechi 6 tena🤪
Lakini kiuhalisia ukiangalia mwenendo wa timu unaona kabisa Tuchel anachokisema ni sahihi kabisa.Tusitishiane makocha.
Emery: Liva ni klabu ninayohofia kukutana nayo.
Arteta: Tutapambana na klabu yoyote itakayokuja mbele yetu.
Liva akapigwa.
Mimi sikatai mnacheza vizuri.Lakini kiuhalisia ukiangalia mwenendo wa timu unaona kabisa Tuchel anachokisema ni sahihi kabisa.
Hakuna rangi mtaacha kuiona nyie. Nyie
sio wa kutufunga vile ule ulikua uzembe wa Lampard. Ngoja tukutane ndio utaelewa ninachomaanisha.
Hiyo 3+4+3 haina uhatari wowote maana ata TT anaitumia kulingana na opponentsMimi sikatai mnacheza vizuri.
Lakini tuchel ataleta majanga ya tano na kupigwa na timu zisizo kwenye ligi hapo chelsea.
3 4 3 imewapa kuonekana wengi uwanjani but mnakua vulnerable kwa kaunta na thru balls. Sisi tuna fullbacks zinazooverlap, wingers wenye uwezo wa kupasi na spid na mid inayogawa na kuzuia mpira.
Kama uliangalia second leg ya Madrid na Atalanta basi vile ndiyo 3 4 3 inavyokua exposed.
Mawinger wanajikuta wamebaki na beki mmoja na kipa mara nyingi tu which reminds me psg ya tuchel ilivyokua vulnerable kwa kaunta na thru balls.
Tusiandikie mate. Goli chache tatu.
Kwahao wingbacks wenye uwezo wa kuoverlap, na wingers wenye uwezo wa kufunga cjui kupiga pasi...mngekuwa top 3 mpk sasa na msinge struggle kuwafunga kina Burnley😂......Sisi bwana tunashida ya kufunga ....Ila game yetu na nyie max tunawala goli 2....na nyie hamtopata hata shot on targetMimi sikatai mnacheza vizuri.
Lakini tuchel ataleta majanga ya tano na kupigwa na timu zisizo kwenye ligi hapo chelsea.
3 4 3 imewapa kuonekana wengi uwanjani but mnakua vulnerable kwa kaunta na thru balls. Sisi tuna fullbacks zinazooverlap, wingers wenye uwezo wa kupasi na spid na mid inayogawa na kuzuia mpira.
Kama uliangalia second leg ya Madrid na Atalanta basi vile ndiyo 3 4 3 inavyokua exposed.
Mawinger wanajikuta wamebaki na beki mmoja na kipa mara nyingi tu which reminds me psg ya tuchel ilivyokua vulnerable kwa kaunta na thru balls.
Tusiandikie mate. Goli chache tatu.
Mimi sina cha kusema. Nimeongea kwa kadri ninavyojua.Hiyo 3+4+3 haina uhatari wowote maana ata TT anaitumia kulingana na opponents
Mfano Man Utd ndio timu iliyoweza kutusumbua na kuufukua udhaifu wetu lkn timu ilipotulia wali control game na kurudi ktk ubora wao
Alkadharika ata ATM. Jana dk kumi za mwanzo walitusumbua lkn tulikaa sawa na kurudi ktk ubora wetu.
Hiyo 3+4+3 inahitaji viungo kz ambao ukiangalia Chelsea tayari inao viungo kz watatu... Hawa viungo ktk game 13 walizocheza hawajawahi kufunikwa yaani kuzidiwa....
Kwahiyo hakuna kabisa timu ya kuisumbua Chelsea kwa counter attacks km Liverpool ambayo nayo ilipigwa na kufunikwa