Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nilichoona mechi ywenyeetu leo. Huu mfuko 3-4-3 una expose mistakes nyingi hasa kwenye defence. Yan nilichoona tunajitahidi kufukuza mwizi huku nyuma tunaacha mlango wazi. Matokeo yakeimepigwa counter moja tumewekwa na nadhani ndio attempt pekee ya southampton.

Naamini Coach atakua ameona cha kubadilisha kuelekea game dhidi ya Atletico.
 
Aloo hawa Atletico wako moto mno. Japo wamepoteza nyumbani kwao ila wana mentality ya upambanaji Mwa-Mwi. Tuchel ana kazi kubwa ya kufanya hiyo J4
 
Dear Tuchel
Honeymoon is over

Next 6 Games

Atletico (A)......
Man Utd (H).
Liverpool (A).
Everton (H).
Leeds (A).
Atletico (H). Then out of champions league
 
Aloo hawa Atletico wako moto mno. Japo wamepoteza nyumbani kwao ila wana mentality ya upambanaji Mwa-Mwi. Tuchel ana kazi kubwa ya kufanya hiyo J4
Hao atletico sio big deal kihiiivyo kama unavyosema! Atletico tunawapga vizuri tu. Chelsea sio timu ya kufungika fungika kirahis. Chelsea ya sahiv ni moja ya timu ngumu sana kucheza nayo. ina mapungufu kiduchu sana. tena kwnye umaliziaji, kocha bado hajapata wachazaji sahihi ndio mana mpaka Abraham anapata nafasi y kuruka ruka tu uwanjani.
 
Dear Tuchel
Honeymoon is over

Next 6 Games

Atletico (A)......
Man Utd (H).
Liverpool (A).
Everton (H).
Leeds (A).
Atletico (H). Then out of champions league
Sijaona wa kumfunga Chelsea hapo. Labda tumsubirie City pekee ndio anaweza akashinda tena hata huyo city anaweza akapigwa vile vile. Tunza hii comment.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom