Umeongea vema, kwa mujibu wa maelezo yako je tucheze mfumo hatari wa kukabia nyuma ambao ni kitu cha hatari ili tumpe nafasi Werner kupata nafasi ya kufunga magoli au tusajili striker anayecheza Kwenye nafasi ndogo ili timu icheze comfortable?
Chelsea kwa sasa kwa wachezaji iliyo nao inaweza kucheza mfumo wowote kulingana na opponents inayokutana nao.
Mfano jana ktk kushambulia tulihitaji kuwashambulia kwa kasi na ndio sbbu Timo alianza badala ya Olivier Giroud.... Kwahiyo hiyo ilikua ni plan na approach ya jana ktk kucheza na Liverpool hasa ukiangalia aina ya wachezaji ambao Liverpool inao....
Sasa ktk game ya j3 approach na plan inatakua tofauti kulingana na Everton walivyo na uchezaji wao ulivyo. Kwa maana hiyo basi unaweza kuona Oliver Giroud akaanza hiyo j3. Na tukawa tuna press high sn na kumiliki mpira sn ili kutengeneza set passes ili watu km kina Mount na wengine waweze kufunga.
Binafsi sioni km tunahitaji kusajili striker mwingine. Hao waliopo wanatosha sn kinachotakiwa ni kuwafanya wacheze vzr na watupatie matokeo mazuri kila game. Bali tunahitaji kucheza mifumo tofauti na kuwafanya wachezaji wa improve.
Mfano mwingine ni kwamba tuangalie ata Upande wa Kushoto wa Alonso na Ben. Ktk hizi game tunaweza kuona kua hawa wachezaji wote ni wazuri ila wanatofauti kadhaa tu. Alonso hana mbio hivo kukimbizana na watu km kina Salah na Rashford hawezi na ndio sbbu ktk hizi game mbili hakupangwa. Lkn ktk game ya Everton Kuna uwezakano mkubwa sn akapangwa.
Kitu anachoshughulika nacho saizi Tuchel ni ktk eneo la kufunga magoli maana hapo ndio kunaonekana kuna shida ktk hizi game kumi tulizocheza. Lkn defensive tuko vzr na tunaendelea kua wazuri kila siku.
Na kuna uwezekano mkubwa sn kwa ratiba ya games zilizobaki Tuchel akamaliza michezo yote bila kufungwa ya EPL.
Maana hii ratiba ya games ya hivi karibuni Tuchel ndio alikua anapimwa wamuone uwezo wake.
Sasa kambakiza Everton tu na uzitoa wa wa Everton uko kwa mwalimu yaani kocha wao na si ktk uwezo wa wachezaji..... Kitu ambacho kwa quality ya wachezaji wetu na uwezo wa Tuchel lazima hawa watoto tuwafunge...
One love the Blues