Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Sioni mkipona leo Everton wapo full mziki
Screenshot_20210308-202209.jpg
 
Mimi lile goli nampa Havertz kafanya a very brilliant flick
Pia leo kila mchezaji anacheza very strong, hata Havertz anacheza vizuri na anaelewana vizuri na mjerumani mwenzake Werner
TT angeza mapema Team A ingechukua EPL na Team B UEFA na Team C ingebeba FA
 
Ukweli ni huu, watakaoadhirika kule nyuma ni Rudiger na Zouma kwa form nzuri aliyonayo Christensen, huyu jamaa sio mzuri tu kwenye kukaba hata kwenye kupasi, mzuri na mtamu mno kwenye penetration passes.

Pia Alonso kule mbele amemuacha mbali sana Ben Chilwell, yaani Alonso alifaa angekuwaga tu ni Winga, anajua kutime mpira na kushambulia
 
TT alisema Havertz ni mzuri akicheza namba 9.5, leo nimeamini, anajiposition vizuri kwenye kufunga. Havertz hafai kucheza kiunga au hata CAM, lakini akicheza kama mshambuliaji yuko best
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom