Liverpool wanacheza katikati kwa Jorginho sijui kachoka ndio maana nikasema Kovacic aingie.James si wakutoka yule anakaba ndio maana ule upande Liverpool hawapiti unashindwa kuona hata kwenye Hili mzee.
Amka weweNimeweka Chelsea asipate goli hata moja, nimetia elfu 60.. nalala nikiamka nataka nione muamala wa M-Pesa umesoma.




Aise tunashukuruLiverpool win weka pesa ndefu
Utakuja kunishukuru
Acha uoga weweDaah sina amani na mechi ya leo, itabidi niangalie kupitia livescores
Sawa sawa tumepigwaMnajifariji siyo. Mpigwe tu leo mnatujazia server ya top four.
Top four after final match;
1. City
2. Mourinho People
3. Looserpool
4. United



Mnajifariji siyo. Mpigwe tu leo mnatujazia server ya top four.
Top four after final match;
1. City
2. Mourinho People
3. Looserpool
4. United
Sawa kk 😂😂😂Liverpool win weka pesa ndefu
Utakuja kunishukuru
Naona muamala umesoma 'haijathibitishwa'Nimeweka Chelsea asipate goli hata moja, nimetia elfu 60.. nalala nikiamka nataka nione muamala wa M-Pesa umesoma.
Em nipe ratiba ya marudio ya h mechi ili nikaangalie huku nakunywa azam ukwaju
Hv una namba ya man City.? Em mwambie kuna wanaume watakuja maeneo yaoHONGERENI THE BLUES
City mpaka tumfikie atakuwa ameshakuwa bingwa kwa hiyo chenji yetu tunaichukua bila msuguanoHv una namba ya man City.? Em mwambie kuna wanaume watakuja maeneo yao
Tumekuchagua wwChagueni kabisa watu wa kubana pumbu.
Ndivyo mpira ulivyo, unadunda. Naona mmemrudisha mgonjwa wodini.Kk unateseka Sana na bado![]()