Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kuna watu humu walidai Mount anatosha Havertz wa nini na maela yote hayo? naona walikuwa sahihi, kwenye nafasi ya CAM, Mount anatoshea kabisa akisaidiana na Ziyech mwenye uwezo wa kucheza LW na CAM
 
TT amedai atawazuia wachezaji kusafiri kwenda international break kwenye timu zao za Taifa kwa sababu ya sheria ya Corona ya Uingereza inayowataka wasafiri wote wanaotoka kwenye RED LIST COUNTRIES kuwekwa Quarantine ya siku 10. Watakaoadhirika ni kipa Edourd Mendy na Thiago Silva
 
Ben Chilwell amuwekea ngumu Salah hadi Klopp akaamua kumuondoa uwanjani
 
Marcos Alonso VS Ben Cilwell

Kocha kaona labda Ben Chillwell atahitajika kwa mpango wa muda mrefu katika nafasi ya LB/Wingback wa kushoto ndio maana kaamua kumtumia yeye zaidi ya Alonso amabaye anafikisha miaka 31 baadaye mwaka huu
Wala hiyo sio sababu benchill kapangwa kutokana na Aina ya mechi inahitaji Nini mfano mzuri game dhidi ya man u inajulikana wazi wanapenda kutumia counter attack Alonso yupo slow ndio maana hakupangwa the same to Liverpool
 
Wala hiyo sio sababu benchill kapangwa kutokana na Aina ya mechi inahitaji Nini mfano mzuri game dhidi ya man u inajulikana wazi wanapenda kutumia counter attack Alonso yupo slow ndio maana hakupangwa the same to Liverpool
Naam hiyo ndio sbbu kubwa.


Na jambo jingine ni kwamba kwa sasaivi TT anatengeneza kikosi kikubwa chenye wachezaji karibu 18 au 20 wenye uwezo sawa sawa na ndio sbbu anawapa nafasi wachezaji wote kucheza na kui improve na kuonesha ubora wao.


Kwa mfano kuanzia Golini sasaivi TT hana shida kabisa maana anajua Mendy na Keppa wako vzr na amewapa nafasi kucheza game kadhaa na akawaona wote uwezo wao na wako vzr.


Ukija ktk safu ya ulinzi nayo hana shida kabisa maana kushoto huko kwa Alonso na Ben nae yuko vzr. Ukija kwa CBs kina Rudiger, Silver, Zuma, Christiansen, Azpilicueta na Reece James hawa wako vzr sn na hana shida kabisa ya mabeki wa kati. Tunahitaji kumpa nafasi Emerson tu ktk mabeki tuone na yeye uwezo wake


Ukija ktk viungo wa kati Kante, Jorghinho, Kovacic hawa wako fiti vibaya na pia kuna Billy Gilmour nae yuko fiti vibaya na anahitaji sasa kupewa nafasi za kucheza....

Kwahiyo utaona sasa TT anayo timu tayari kubwa tu na kikosi kipana tu... Sasa anahitaji kushughulika na wachezaji wa huko mbele wafungaji na attackers tu...
 
Umeongea madini sana mkuuu
Pamoja mkuu
Mkuu hongera unaongea kisoka zaidi. Upo vizuri katika uchambuzi wa mpira.

Mpira ni mbinu, mpira ni mfumo anayotumia kocha katika kukabiliana na oponent anayokutananayo. Kocha mzuri ni yule anayebadilika kutoka na timu anayokutanayo kwa wakati huo na si kukariri mfumo mmoja tu
Pamoja sn mkuu.


#KTBFFH
 
Wala hiyo sio sababu benchill kapangwa kutokana na Aina ya mechi inahitaji Nini mfano mzuri game dhidi ya man u inajulikana wazi wanapenda kutumia counter attack Alonso yupo slow ndio maana hakupangwa the same to Liverpool
Reason yangu ni yumkini na ya kwako ni yumkini pia, kocha ndie anayejua
 
Naam hiyo ndio sbbu kubwa.


Na jambo jingine ni kwamba kwa sasaivi TT anatengeneza kikosi kikubwa chenye wachezaji karibu 18 au 20 wenye uwezo sawa sawa na ndio sbbu anawapa nafasi wachezaji wote kucheza na kui improve na kuonesha ubora wao.


Kwa mfano kuanzia Golini sasaivi TT hana shida kabisa maana anajua Mendy na Keppa wako vzr na amewapa nafasi kucheza game kadhaa na akawaona wote uwezo wao na wako vzr.


Ukija ktk safu ya ulinzi nayo hana shida kabisa maana kushoto huko kwa Alonso na Ben nae yuko vzr. Ukija kwa CBs kina Rudiger, Silver, Zuma, Christiansen, Azpilicueta na Reece James hawa wako vzr sn na hana shida kabisa ya mabeki wa kati. Tunahitaji kumpa nafasi Emerson tu ktk mabeki tuone na yeye uwezo wake


Ukija ktk viungo wa kati Kante, Jorghinho, Kovacic hawa wako fiti vibaya na pia kuna Billy Gilmour nae yuko fiti vibaya na anahitaji sasa kupewa nafasi za kucheza....

Kwahiyo utaona sasa TT anayo timu tayari kubwa tu na kikosi kipana tu... Sasa anahitaji kushughulika na wachezaji wa huko mbele wafungaji na attackers tu...
Ila huyu jorginho naye hasemwi Sana Ila naona kaimprove Sana tangu Tuchel aje ...juzi mechi y liver alivyoingia na kova klop akaamua amtoe na alcantara maana vijana pale Kati walikuwa wamevurugwa😀....au mnaonaje mazee?
 
Ila huyu jorginho naye hasemwi Sana Ila naona kaimprove Sana tangu Tuchel aje ...juzi mechi y liver alivyoingia na kova klop akaamua amtoe na alcantara maana vijana pale Kati walikuwa wamevurugwa....au mnaonaje mazee?
Jorghinho ka improve sn kaka. Yaani Nouma sema tu hana nguvu na speed lkn akipewa mipira anaifanyia mema sn.


Juzi alimtupia Timo Warner mi pasi kibao yaani alikua akipata tu anaangalia Timo yuko wp au Hakim Ziyench.... Ndio ukaja sasa ule mpasi ukaanzia kwa Azpilicueta, ukashushwa kwa Kante..... N Kante nae akautendea mema mpk Kwa Mason Mount.... Mara kitu


Jorghinho ni Nouma mpk Sarri anamtamani saizi mtoto wake
 
Screenshot_20210307-204142_All%20Goals.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Wana JF Tammy Abraham mbona kama ataozea jela ... dogo inatakiwa anolewe. Akitulia anaweza kuja kuwa kama Drogba
 
Jorghinho ka improve sn kaka. Yaani Nouma sema tu hana nguvu na speed lkn akipewa mipira anaifanyia mema sn.


Juzi alimtupia Timo Warner mi pasi kibao yaani alikua akipata tu anaangalia Timo yuko wp au Hakim Ziyench.... Ndio ukaja sasa ule mpasi ukaanzia kwa Azpilicueta, ukashushwa kwa Kante..... N Kante nae akautendea mema mpk Kwa Mason Mount.... Mara kitu


Jorghinho ni Nouma mpk Sarri anamtamani saizi mtoto wake

Alivoanza game ya Liverpool nilipata wasiwasi ila performance ilikua ya hali ya juu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom