Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Nimeweka Chelsea asipate goli hata moja, nimetia elfu 60.. nalala nikiamka nataka nione muamala wa M-Pesa umesoma.

Duuu elfu sitini bora ungewapa watoto wenye uhitaji mkuu.

Au ungepeleka hospitali kwa ajili ya kupambana na Covid 19 ungeonekana wa maana
 
Sarri yuko kwenye orodha ya makocha wa Chelsea walioondoka kwa heshima
1614914130713.png
 
Werner kwa jinsi nilivyomuona anavyocheza jana,anaonekana anamatatizo ya kutojiamini,pale chelsea wachezaji ni Kante,James,mount, Christiansen na odoi,
 
Mbona Kovacic na alzipicueta umewaacha.
Alzipicueta nilimsahau,ila huyo Kovacic hapana kwa kweli,maana anaweza kukimbia na mpira vizuri alafu kinachofuata utacheka,then miguu yake huwa imepinda so anashindwa kulenga goli,
 
Chelsea players rating VS Liverpool
Rating against 10 points

  1. Edouard Mendy 7
  2. Cesar Azpilicueta 7
  3. Andreas Christensen 9 - excellent
  4. Antonio Rudiger 8
  5. Reece James 7
  6. N'Golo Kante 9 - excellent
  7. Jorginho 8
  8. Ben Chilwell 7
  9. Hakim Ziyech 6
  10. Mason Mount 8
  11. Timo Werner 8
  12. Chelsea substitutes
  13. Christian Pulisic 6
  14. Mateo Kovacic 6
 
Werner kwa jinsi nilivyomuona anavyocheza jana,anaonekana anamatatizo ya kutojiamini,pale chelsea wachezaji ni Kante,James,mount, Christiansen na odoi,
Ila pamoja na kutojiamini ndie aliyeipa tabu mabeki wa Liverpool jana, tatizo lake tu anapoteza nafasi golden opportunities sana
 
Hii inakuaje offside ikiwa mpira ulichezwa na Werner. Ziyech kacheza move lakini haikua ya kumdistract beki au ndiyo inakuaje hapa?
Timo Werner ndie alikuwa OFFSIDE with micro nanometer VAR ni ya ajabu sana
 
Duuu elfu sitini bora ungewapa watoto wenye uhitaji mkuu.

Au ungepeleka hospitali kwa ajili ya kupambana na Covid 19 ungeonekana wa maana
Yani yuko busy anatumia mshahara wa ausigeli kuiua Chelsea na kuipa takataka looserfool wakati anajua kabisa kwa sasa pale Anfield ni shamba la bibi

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Alzipicueta nilimsahau,ila huyo Kovacic hapana kwa kweli,maana anaweza kukimbia na mpira vizuri alafu kinachofuata utacheka,then miguu yake huwa imepinda so anashindwa kulenga goli,
Kovacic anacheza kiungo Cha chini sio attacking midfielder kazi yake kuu anaifanya vizuri na ndio maana tunadominate game lakini pia anashinda press za opponents.
 
Ila pamoja na kutojiamini ndie aliyeipa tabu mabeki wa Liverpool jana, tatizo lake tu anapoteza nafasi golden opportunities sana
Mkuu kuna mipasi kama miwili alichunguliwa na Ziyech akashindwa kufunga,ile mipasi kama unampa drogba au Diego Costa lazima akunyooshe,alafu Chelsea sasa wanatatizo la kupiga mashuti nje ya 18,na lingine hizi back pass zimekuwa nyingi sana,kuna muda liver walikuwa wanapress beki zikawa zinataka kujichanganya na mapasi yao ya nyuma,na Chilwell anatatizo moja la kupenda kupiga kross wakati wenzake hawapo kwenye box. Kama jana kuna nafasi unaziona kabsa hii sio ya kupiga kross inabidi atishe aingie nayo kama Alonso,
 
Mkuu kuna mipasi kama miwili alichunguliwa na Ziyech akashindwa kufunga,ile mipasi kama unampa drogba au Diego Costa lazima akunyooshe,alafu Chelsea sasa wanatatizo la kupiga mashuti nje ya 18,na lingine hizi back pass zimekuwa nyingi sana,kuna muda liver walikuwa wanapress beki zikawa zinataka kujichanganya na mapasi yao ya nyuma,na Chilwell anatatizo moja la kupenda kupiga kross wakati wenzake hawapo kwenye box. Kama jana kuna nafasi unaziona kabsa hii sio ya kupiga kross inabidi atishe aingie nayo kama Alonso,

Timmo ana drought ya kufunga but tangu afike TT kaanza kubadirika
Licha ya kukosa magol lakin alikua anatoa pressure kwa Liverpool defenders

Ata mount last season hakuwa bora ila alivumiliwa so ata kuja kuwa bora siku zijazo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom