Mbeya City Spurs I
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 482
- 1,026
Hesgoal.comNdiyo kawaida ya hizo app za live football. Huja na kupotea; Burma Tv, Mobdro, nk
Tumia website ya "hesgoal"
Iko fresh, mechi zote. Ni wewe tu na bando lako.
Hesgoal.comNdiyo kawaida ya hizo app za live football. Huja na kupotea; Burma Tv, Mobdro, nk
Tumia website ya "hesgoal"
Iko fresh, mechi zote. Ni wewe tu na bando lako.
Mumepata sare muna sheherekeeea wenyewe!
Asante sana mkuu; ngoja nifanye kama ulivyonishauri. Nitakupa mrejesho.Ndiyo kawaida ya hizo app za live football. Huja na kupotea; Burma Tv, Mobdro, nk
Tumia website ya "hesgoal"
Iko fresh, mechi zote. Ni wewe tu na bando lako.
Mumepata sare muna sheherekeeea wenyewe!
tpaul App yangu niliyokuambia ile ya live football tv streaming vip ujanipa mrejesho?Asante sana mkuu; ngoja nifanye kama ulivyonishauri. Nitakupa mrejesho.
Wametuzidi Fouls, Overside, Yellows na Corners
Kama yule kiazi Pernandez dk. 90 zote yeye ni kulalamika tu badala ya kucheza mpira. Aliniboa.Chelsea tunapewa penalti, Man city wanapewa penalti lakini hata bila kupewa penalti wanashinda lakini Manure bila penalti kupitia Penandez hawawezi kushinda na ndio maana kwenye big matches zote wametoa draw ya 0.0 kwa Spurs wakafungwa 6-1
Kocha wao OGS naye anaelekea kuleweshwa na hizo penalti za kupewa na ndio maana baada ya juzi kunyimwa penalti na kocha na VAR amebakia kwenye media akikandia na kuikandia website ya Chelsea kwamba eti ilitumika kumuinfluence refa asiwape penalti Maniure
"It's all these outside influences, it's cheeky when they put that on their website, that's influencing the referees. You can read it."
Ole Gunnar Solskjaer vents his frustrations about the penalty that wasn't given pic.twitter.com/7YK22ja6Oo
— Football Daily (@footballdaily) February 28, 2021
Nashukuru sana mkuu. Ile ilionyesha kwa muda mfupi baadaye ikawa haifanyi kazi. Kuna website moja mwanaJF kanishirikisha inaonesha vizuri sana kwenye PC bila mkwamo. Hii hapa: Football News - HesGoal.Com Sports Newstpaul App yangu niliyokuambia ile ya live football tv streaming vip ujanipa mrejesho?
Mkuu Mbeya City Spurs I nakushukuru sana kwa kunishirikisha hii website inayopiga kazi vizuri bila mkwamo wowote. Juzi nimengalia mpira wa Madrid na Sociedad kwa raha zote. Kama baadaye hawataifunga, tutafaidi sana aisee. Shukrani.Ndiyo kawaida ya hizo app za live football. Huja na kupotea; Burma Tv, Mobdro, nk
Tumia website ya "hesgoal"
Iko fresh, mechi zote. Ni wewe tu na bando lako.
Mkuuu inapatikana Google au play store??Mkuu Mbeya City Spurs I nakushukuru sana kwa kunishirikisha hii website inayopiga kazi vizuri bila mkwamo wowote. Juzi nimengalia mpira wa Madrid na Sociedad kwa raha zote. Kama baadaye hawataifunga, tutafaidi sana aisee. Shukrani.
Inapatikana Google mkuu.Mkuuu inapatikana Google au play store??
Pamoja sana mkuu tpaul . Usiwaze, hata mimi nilipewa na mkali mwingine. Huwezi jua ipo siku na wewe utampa mwingine au hata mimi. Mimi naikubali sana hiyo kitu. Game zangu zote nacheki huko.Mkuu Mbeya City Spurs I nakushukuru sana kwa kunishirikisha hii website inayopiga kazi vizuri bila mkwamo wowote. Juzi nimengalia mpira wa Madrid na Sociedad kwa raha zote. Kama baadaye hawataifunga, tutafaidi sana aisee. Shukrani.

Ni website mkuu. Unaingia google au kwenye browser nyingine unaandika "hesgoal.com". Link za michezo inayoendelea zinakuwa mwanzo kabisa. Ni michezo yote. Kazi inakuwa kwako kubonyeza link ya mchezo uutakao.Mkuuu inapatikana Google au play store??
Hiyo ni website ya kawaida, sio Google wala Google App Store, link umepewa au search kwenye google hesgoal, ya kwanza itakayokuja ndio yenyeweMkuuu inapatikana Google au play store??
Nimerudi kwetu wakuuu vip unacheki online au unaweza hata ku download????Hiyo ni website ya kawaida, sio Google wala Google App Store, link umepewa au search kwenye google hesgoal, ya kwanza itakayokuja ndio yenyewe