Unekasirika kwa sababu mkeka umechanika?Macheltako yamekimbia na chupi mkononi.
Hapana furaha yangu ni kipigo alichopokea paka wa london.Unekasirika kwa sababu mkeka umechanika?
Baada ya huu ushindi mpo nafasi ya ngapi sasa hivi?correct scores FT
CHELSEA 3
MAN UTD 1
------------------------------------------------
correct scores HT
CHELSEA 1
MAN UTD 1
Dah yalikata na huku eti halafu game inaishia ndo yakarudishaTanesco kmmk
Kujenga timu inachukua muda. Sidhani kama tunahitaji kuongeza wachezaji. Hawa waliopo wanatosha. Ni kazi ya kocha kuhakikisha wanashinda magoli.Tumeupiga mwingi sana asee, pale mbele halaand anajitajika haraka.
Kwan we upo nafac y ngapiBaada ya huu ushindi mpo nafasi ya ngapi sasa hivi?
14Kwan we upo nafac y ngapi
Hivi huwa mnakiona nini kwa Sancho ambacho mimi sikioni. Mbona Sancho kama Odoi tu. Kwanza Odoi anaweza akawa mzur kuliko huyo Sancho.Na 2017 ndio ilikuwa mara ya mwisho kubeba kombe la EPL under Antony Conte.
Naimani under TT tutarudi katika ubora wetu wa mwendelezo bora wa kubeba angalau kikombe kimoja kwa msimu.
Kwa sasa Mwelekeo wa matumizi sahihi ya wachezaji unaonekana, madhaifu yanaonekana waziwazi kwenye eneo la ushambuliaji.
TT aletewe haaland tuu ikiwezekana + sancho na Eriksen.
--------------- Haaland -----------------
Werner---- Eriksen ---- Sancho
----------Joginho - Kovacic--------
Habari nazifuatilia ila nilikuwa sifahamu vikwazo alivyowekea ni pamoja na kutojenga uwanja wa kisasa.
Basi wampige na ban ya kutonunua wachezaji.
Swala la kujenga uwanja linatoa ajira wakazi wa England, linaingizia mapato serikali ya England, uwanja unabaki England.
Vikwazo vya nini sasa? Swala la uwanja Anayefaidi ni Abromovich au England?
Kununua striker bila kununua kiungo mbunifu huyo striker atageuka kuwa galasa na hii imechangia kwa Torres kuchemka Chelsea.We angalia Mourinho alichokifanya alimnunua Costa akamnunua pia Fabregas ndio maana Costa akashineUsihofu mkuu Abromovich ameshatenga fungu la usajili dirisha kubwa lijalo £260M.
Dual citizenshipAmeshabadili uraia kwa sasa ni raia wa israel
Ndio maana unaona kwa sasa ndio amerudisha focus yake kwenye mpira wa chelsea hapo nyuma ni kama alikuwa anasuasua
Uko sahihi, strikers tulionao ni wazuri wakipata kiungo mbunifu.Kununua striker bila kununua kiungo mbunifu huyo striker atageuka kuwa galasa na hii imechangia kwa Torres kuchemka Chelsea.We angalia Mourinho alichokifanya alimnunua Costa akamnunua pia Fabregas ndio maana Costa akashine
lembu
Ndiyo kawaida ya hizo app za live football. Huja na kupotea; Burma Tv, Mobdro, nkMkuu nilidownload BURMA TV na ilikuwa inafanya kazi vizuri sana lakini sasa hivi haifanyi kazi. Pia jana nilidownload hii ya LIVE FOOTBALL TV nayo haifanyi kazi kiongozi wangu, sijui hata nifanyeje!