Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,079
- 12,319
Nakuhakikishia leo inafika mwisho tena tunaivunja kwa goli zaidi ya mbili.Kila siku fungate inaisha. Mtapiga ramli mpaka mchoke
Nakuhakikishia leo inafika mwisho tena tunaivunja kwa goli zaidi ya mbili.Kila siku fungate inaisha. Mtapiga ramli mpaka mchoke
Sio Hichi Leo kaanza ziyech n chilwell
Leo ni mwendo wa mateka tu kuwateka man uKikosi hicho cha leo na Manure
View attachment 1714158
Bao zako hizo zinatosha kabisa kukupunguza point tatu leoLeo tunakupigigeni bao 3 tu na kujihakikishia 3 points.
Leo fungate imefikia mwisho.
Usijali Leo man u atakiona Cha mtema kuniMna kila sababu za kuwaadhibu united kwa sababu tangu washinde vimechi vya ma underground wamekuwa na kelele kama shwagne walioona kopo la makombo.
Tandikini hao kenge wajawazito kurudisha heshima mliyokuwa nayo tangu enzi za mou.
Niwatakieni ushindi mwema.
COYC
First eleven nzuri Sana nimependa Ziyech alivyoanza na benchilwell kocha kaweka mfumo wa kumfavour Giroud na amemuweka ben kwasababu Ni yupo na kasi na nimzuri kwenye ukabaji compare to Alonso Kama Leo angeanza man u wangetarget upande wake.Kwa kikosi hichi I believe on God tutashinda together we can.Kikosi hicho cha leo na Manure
View attachment 1714158
Hata mimi niliwaza hilo kuwa Ma U wangemtarget Alonso kwa counter attackFirst eleven nzuri Sana nimependa Ziyech alivyoanza na benchilwell kocha kaweka mfumo wa kumfavour Giroud na amemuweka ben kwasababu Ni yupo na kasi na nimzuri kwenye ukabaji compare to Alonso Kama Leo angeanza man u wangetarget upande wake.Kwa kikosi hichi I believe on God tutashinda together we can.
Wise decision from coachHata mimi niliwaza hilo kuwa Ma U wangemtarget Alonso kwa counter attack
Piga ramli TuKipindi cha pili kila timu itakuja kutaka kumaliza mchezo kwa kushambulia kwa nguvu. 3 4 3 ni vulnerable kwa kaunta na thru balls ambazo nyumbu wanaziweza. Ukijichanganya kushambulia kwa nguvu kazi ipo.
Hapo bado penati cheltako mnatokaje kwa mfano?
Nenda wewe Fisi maji ukampige huyo nyumbuNyie ndezi mnakwama wapi kumpiga nyumbu hadi dakika hii!!!
