liverpool vs Chelsea
Bonge moja la Match kama shabiki wa THE BLUES hutakiwi kuikosa. Pale Anflied now days hapaogopeshi, pamekuwa lango la wanyang'anyi kubeba point.
Twende na 343
Werner - Giroud - Mount
Chilwell - Kante - Kovacic- James
Rudger - Christensen - Azipu
Werner & Mount wapangwe kule mbele kuwapress Arnold & Robertson wasianzishe mashambulizi.
Hapo kwa Chilwell & Rudger na James & Azipu hakikatizi kitu. Odoi anaweza akaanza akatupa ubunifu kule mbele ila na wasiwasi Robertson anaweza akafurukuta kupandisha mashambulizi.
Christensen amekuwa kwenye form balaa nategemea leo Firmino ana rest in peace.
Kante & Kovacic mpera mpera, kuendelea kukichafua hapo kati.
Kwenye ufungaji wa magoli kule mbele ndio changamoto kubwa inayotukabili kwa sasa. Nyuma tunacheza vizuri, katikati vizuri, ila kule mbele tunacheza bila maelewano hakuna muunganiko, hakuna ubunifu.
Hii match sidhani kama kuna DRAW, bali ushindi mwembamba.
Liverpool 0 - 1 Chelsea