lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 19,383
- 25,488
Werner adai Tuchel haweki mabifu tofauti na Lampard ukifanya makosa hasahau na anaweka bifu
Amedai Tuchela hajali kama yeye Werner amekuwa akikosakosa kufunga na kufanya makosa mengine mengi uwanjani kitu ambacho kinampa ujasiri
Amedai pia hiyo tabia ya kutojali makosa ya nyuma imewapa ujasiri wachezaji wenzake kuanza upya
Ameendelea kudai kuwa meneja mpya anamuelewa kwa urahisi na yeye pia anakuwa huru kujieleza kwa sababu ya lugha tofauti na Lampard ambaye amedai alikuwa anamuelewa ila hawezi kujieleza kwa uhuru kwa sababu ya lugha
Amedai Tuchela hajali kama yeye Werner amekuwa akikosakosa kufunga na kufanya makosa mengine mengi uwanjani kitu ambacho kinampa ujasiri
Amedai pia hiyo tabia ya kutojali makosa ya nyuma imewapa ujasiri wachezaji wenzake kuanza upya
Ameendelea kudai kuwa meneja mpya anamuelewa kwa urahisi na yeye pia anakuwa huru kujieleza kwa sababu ya lugha tofauti na Lampard ambaye amedai alikuwa anamuelewa ila hawezi kujieleza kwa uhuru kwa sababu ya lugha