Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

didier,torres,lampard mmoja wapo lazima aweke historia
kweli ukiwa mtaalamu wa soka ni raha tupu!
 
Huu umekuwa mchezo wa kihindi - piga tajame!

Hahaha... nadhani zitakwenda penalties... wakati wanapiga penalty I was telling this guy ambaye tunaangalia wote kwamba Peter C. He is good with penalties! Wakienda penalties nadhani chelsick wanabeba ndoo hii
 
Mungu bado yupo pamoja nasi wanachelsea ona sasa buyern wamekosa gori la wazi. Lets pray and play
 
Hahaha... nadhani zitakwenda penalties... wakati wanapiga penalty I was telling this guy ambaye tunaangalia wote kwamba Peter C. He is good with penalties! Wakienda penalties nadhani chelsick wanabeba ndoo hii


Hii ngoma bado nzito....hadi penalties zipigwe...si rahisi kutabiri hadi sasa!!
 
dah UMEME umekatika...
Puumbav yaani sijui kwa nini niliiacha ile VISA ya Somalia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom