Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Halafu wamekosa,

Nadhani kwa Bayern, hii ni siku ya kufa nyani!!
 
Hello
Jamiiforums members*Its me new member so i need cooparation from u bz ni mgeni ktk uwanja huu Hìii 2 all members
 
Naona kakuangusha.

Alafu Robben mchoyo flani au macho yangu? Naona anao anao nyingi, japo ndio kawaida yake lakini kwenye mechi kubwa kama hii lazima utafute wenzako sometimes.

Yaani kukosa kwake kamsaidia Drogba maana ingemuuma kweli..leo mie neutral kabisa, mshindi nampongeza

Robben ana uchoyo hata mie nimeona....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom