Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Kwenye uwanaume bado haujafikia, wewe bado ni mvulana tu.

Maana hata bao lako ni maji maji tu haliwezi tia mimba.

Hapo bado sijakuambia misuko suko tunayo pitia wanaume.

We ni dereva wa sahani, break mkeka (kula kwa mama)

Ila hongera kwa ushindi wa mbinde mulio upata jana.
Wanaume tumekaa kwenye jukwaa letu tunajadili mambo ya timu yetu, wewe unapita mbele yetu umejifunga kanga moja imelowa maji huku unatingisha wowowo.
 
Hii comment naitunza mpaka siku ya Tuchel out.
King Ngwaba Issue Wala si honeymoon Bali huyu kocha (Thomas Tuchel) ana mbinu za ushindi ukiachana na uwezo binafsi za wachezaji hii ilikuwa tofauti Sana na Lampard ambaye alikuwa Hana mbinu zaidi ya kutegemea uwezo wa wawachezaji.
 
Kesho kutwa liverpool wakipigwa na sisi tukashinda basi uhakika wa top four na kuwa title contender utarudi..[emoji3]
Sisi mashabiki wa Manchester United siku hiyo tutakua pamoja na Livakuku kuhakikisha City anafungwa.

Kuku asipo chemshiwa maji ya moto huwezi mnyonyoa manyoya yake.
 
Sijui jamaa huwa anamuelewa Lampard kw kitu gani? Nimefeli kuelewa.
Wewe pambana na hali yako, ya Lampard inakuhusu nini? Au mnamtaka nini? Kipi kigumu katika sentensi yangu ya awali. Hata Mwinyi Zahara akiifundisha squad tuliyo nayo ya Chelsea na kukiwa na utulivu kwenye dressing room top 4 tunatinga sembuse Lampard aliyeiwezesha academy team kutinga top 4?????. Halafu msiwe mnacoment uzi kama hunielewi
 
Il angkuw brouno ndo kashinda penalty ungesemA hvi
Kama hii?


0_JS215000092.jpg
 
Nilikwambia mitaa hii yembea kwa nidhamu. Huku kunateleza ukijifanya moto kukimbia utaanguka!
Sasa hivi tuko wodi moja mkuu. Sema tu kwamba nyie mna nafuu kidogo. Nyie kikosi mnacho lakini hamuwezi kutengeneza end product. Kazi nyingine aliyonayo kocha wenu ni kuifanya timu itengeneze clear chances.

Mfano jana; Nafasi yenu ya wazi ya kwanza mmekuja kuipata dk ya 60 na pale Werner alipojaribu kuipasua beki yetu dhaifu, Aurier akaokoa. Sidhani kama mnapenda kujivunia goli la kupewa na mabeki wetu akina Dier na mwezake Toby.
 
Sasa hivi tuko wodi moja mkuu. Sema tu kwamba nyie mna nafuu kidogo. Nyie kikosi mnacho lakini hamuwezi kutengeneza end product. Kazi nyingine aliyonayo kocha wenu ni kuifanya timu itengeneze clear chances.

Mfano jana; Nafasi yenu ya wazi ya kwanza mmekuja kuipata dk ya 60 na pale Werner alipojaribu kuipasua beki yetu dhaifu, Aurier akaokoa. Sidhani kama mnapenda kujivunia goli la kupewa na mabeki wetu akina Dier na mwezake Toby.
Hakuna goli la kupewa hapo boss. Ni juhudi za Werner na asingemkwatua very likely lingekuwa goli. Kweli bado tuko nafasi jirani ila sisi ni mgonjwa aliyeruhusiwa wakati ninyi bado mko kwenye matazamio. Manyuu pale juu watashuka tu. Majogoo wakiendelea kutengenezwa supu nao tunawaacha. Hapo ni Man City tu ndio wanatishia amani.
 
Tottenham Hotspurs VS Chelsea Man of the Match = Mason Mount
1612593077975.png

Tuchel Said

"He can perform under any manager. This is the best thing, he really means it, he has this internal motivation and he's a very nice guy. Big personality, what [more] can you wish for?"

He added: "That [quality] was very clear before, because we watched the team and [under] Frank [he] was a regular starter. [For] Frank there was no doubt he's a team player, and he has the potential that he has.
 
Hakuna goli la kupewa hapo boss. Ni juhudi za Werner na asingemkwatua very likely lingekuwa goli. Kweli bado tuko nafasi jirani ila sisi ni mgonjwa aliyeruhusiwa wakati ninyi bado mko kwenye matazamio. Manyuu pale juu watashuka tu. Majogoo wakiendelea kutengenezwa supu nao tunawaacha. Hapo ni Man City tu ndio wanatishia amani.
Kitu kimoja namkubali bosi wenu Abromovic ni ku-stick kwenye falsafa yake ya matokeo makubwa sasa. Hakuna muda sijui wa kujenga timu. Ukipewa kazi kabidhi vikombe, ukishindwa unaenda.

Ukitazama juu juu unaweza usione impact yake ila deep inside, huenda Chelsea ndiyo time yenye mafanikio zaidi pale England tangu 2004. Tafsiri ya mafanikio hapa ni idadi ya vikombe unavyobeba.

Nilisoma mahali kuwa katika kipindi hicho timu yenu imeshikwa na makocha angalau 14 ila pia imebeba vikombe 18. Sidhani kama kuna timu imebeba vingi kuwazidi.

Sometimes kitu kinaweza kisiwe juu sana ila kikawa ndiyo the most consistent. Juzi kwenye pre match press conference Jose kaulizwa ikiwa kazi ya kufundisha Chelsea ni ngumu. Akajibu kuwa siyo ngumu ndiyo maana yeye, Ancelotti na Conte waliweza kushinda.

Katika hilo nawapa big up.
 
Tottenham Hotspurs VS Chelsea Man of the Match = Mason Mount
View attachment 1695786
Tuchel Said

"He can perform under any manager. This is the best thing, he really means it, he has this internal motivation and he's a very nice guy. Big personality, what [more] can you wish for?"

He added: "That [quality] was very clear before, because we watched the team and [under] Frank [he] was a regular starter. [For] Frank there was no doubt he's a team player, and he has the potential that he has.
Dogo alichesa vizur, ila nafikiri Kova alistahili.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom