King Ngwaba Issue Wala si honeymoon Bali huyu kocha (Thomas Tuchel) ana mbinu za ushindi ukiachana na uwezo binafsi za wachezaji hii ilikuwa tofauti Sana na Lampard ambaye alikuwa Hana mbinu zaidi ya kutegemea uwezo wa wawachezaji.Mzee baba kwenye ligi mpinzani ambaye Timu wanashindana nae ni yule anayeoongoza Ligi (Man City) na sio Liverpool. Musiwe na Mindsets za Midtable Teams.
=========================
Anyway! Honeymoon ya New Coach huwaga inaisha na kurudi kwenye uhalisia lazima mukumbuke hilo. So mpeni kocha angalau 7 to 10 games ili baada ya Honeymoon mumjue rangi yake halisi.