Mkubwa lengo letu ni kombe haya mambo ya top 4 tuwaachie arsenal huyu man city lazima atajichanganya tu na yeye niamini mkubwa.Kama matokeo haya yakiwa hivi hadi mwisho Liverpool wanatusidi point moja tu, vita vya top 4 ndio inazidi kunoga
Hiyo ni presure nyingine ya kujitakia, umsubiri aliye juu ashuke chini ili sisi tupande. No. Kama ni kombe labda FA na UEFAMkubwa lengo letu ni kombe haya mambo ya top 4 tuwaachie arsenal huyu man city lazima atajichanganya tu na yeye niamini mkubwa.
Huyu rudger kuna Muda huwa anapanick sana, sasa pale kipa keshatoka na yeye hata hajampimia kipa amekaajeRudiger baada ya kushindwa kuwafunga Sheffield United ameamua kutufunga sisi
Ila kajirekebisha kwa kufanya save za maana sanaHuyu rudger kuna Muda huwa anapanick sana, sasa pale kipa keshatoka na yeye hata hajampimia kipa amekaaje
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mendy sometym nae pia ana papara.Huyu rudger kuna Muda huwa anapanick sana, sasa pale kipa keshatoka na yeye hata hajampimia kipa amekaaje
Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Hili jambo hata coach kalizungumza tubaki macho na FA au Uefa mambo ya PL magumu mnoMkubwa lengo letu ni kombe haya mambo ya top 4 tuwaachie arsenal huyu man city lazima atajichanganya tu na yeye niamini mkubwa.
Kwa hyo chilly hana nafasi kwa TUCHEL????Kama nilivyosema Ben Chillwell amaeshindwa kufiti in kwenye mfumo wa 3-4-3, ametolewa na mtaalam wa mfumo Alonso anaingia. Pia Giropud naona hana impact kabisa na Odoi kaingi badala yake. Tutegemee kule mbele kuchangamka zaidi.
Sasa tunabadili mfumo badala ya 3-4-1-2 (strikers wawili mbele) tunatumia mfumo wa 3-4-2-1 (Werner akiwa Striker pekee na Mount na Odoi wakicheza kama foward wa kushoto na kulia
1.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Jiga sana jamaaRudiger baada ya kushindwa kuwafunga Sheffield United ameamua kutufunga sisi
Pamoja na kujifunga ila kadefence vizuri Sana1.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] Jiga sana jamaa
Wewe wasema!!Kwa hyo chilly hana nafasi kwa TUCHEL????
Unauonaje huo usajili?Chelsea reach agreement to sign Boateng (Todofichajes)
German defender set to join Blues in the summer
Chelsea have reached an agreement to sign Bayern Munich defender Jerome Boateng (32) at the end of the season
Tutakuwa na wazee wengi kule nyuma kama Crystal PalaceUnauonaje huo usajili?