Mbeya City Spurs I
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 482
- 1,026
Nani anaweza kumchanganya kocha bora zaidi aliye kazini.Mourinho kashafungwa maana wamemchanganya
Nani anaweza kumchanganya kocha bora zaidi aliye kazini.Mourinho kashafungwa maana wamemchanganya
Au bado hujaelewaNani anaweza kumchanganya kocha bora zaidi aliye kazini.
Goli la kupewa zawadi ndiyo limewafurahisha weee. Dier kaona awape zawadi ilhali Christmas ishapita.Au bado hujaelewa
Alitumwa afanye fauloGoli la kupewa zawadi ndiyo limewafurahisha weee. Dier kaona awape zawadi ilhali Christmas ishapita.
Il angkuw brouno ndo kashinda penalty ungesemA hviAlitumwa afanye faulo
Kwa hiyo unataka kusema nini, penalt ya halali ile hkuna hata haja ya kuangalia kwa VARIl angkuw brouno ndo kashinda penalty ungesemA hvi
Sio wanacheza kwa ubinafsi Tatizo lipo kwa striker wetu kwenye swala la kufungua nafasi... Ndio maan unaona wabinafsiTuche bado ana kazi kule mbele. Leo tungekuwa na goli 4
Moiunt, Kovacic, Pulisic wanacheza kwa ubinafsi kule mbele. zile move zao wangekuwa Mancity goli zingeingia kwa kutoa pasi kwa mfungaji
Chance ya kovacic, sijui alikuwa mount/pulisic walikuwa ashafungua ila akaamua kushootSio wanacheza kwa ubinafsi Tatizo lipo kwa striker wetu kwenye swala la kufungua nafasi... Ndio maan unaona wabinafsi
Makosa ya leo ni ya aliyekuwa na mpira anabaki nao mpaka ananyang'anywa. Angalia replay ya Mount, Pulisic na Kovacic. Chenga mingi halafu unaishia kupoteza mpira kizembeSio wanacheza kwa ubinafsi Tatizo lipo kwa striker wetu kwenye swala la kufungua nafasi... Ndio maan unaona wabinafsi
Kovacic aliumia ndio maana akatolewaKova hakutakiwa kutoka. hope kocha amejifunza kitu leo.