Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,083
- 12,326
Alie juu mngoje chini, umesahau huo msemo?
Kwahiyo we endelea kutungoja hapo hapo.
Kwahiyo we endelea kutungoja hapo hapo.
Hakuna goli la kupewa hapo boss. Ni juhudi za Werner na asingemkwatua very likely lingekuwa goli. Kweli bado tuko nafasi jirani ila sisi ni mgonjwa aliyeruhusiwa wakati ninyi bado mko kwenye matazamio. Manyuu pale juu watashuka tu. Majogoo wakiendelea kutengenezwa supu nao tunawaacha. Hapo ni Man City tu ndio wanatishia amani.