Siku tukitumia 433 hapa chilwel hana mpinzaniNashukuru Alonso amerudi kikosini, Chiwell bado sana kwenye pasi.
Haha Alonso is back[emoji23][emoji23][emoji23]
Ww kufa vip hutakiMbona hii game kama mnakufa hivi
Halafu hatuna kelele kama zile NYUMBU.
Kazi ya kocha hiyo tumepata kocha mwenye mbinuHakuna mtu yeyote aliyetegemea kama CHO atakuja kucheza kama wing back,
Katika hizi mech 2 alizocheza kacheza vizuri sana
Nimefurahi kukuona nilikumis Sana naona kuondoka kwa Lampard wameturudisha kundini.Halafu hatuna kelele kama zile NYUMBU.
Hii ya leo ya kufa ulikuwa unatania sio? 🤣🤣🤣Nakusubiri alhamis
Totenhm ndio kipimo sahihi,
Siku zote huwa tunatamba. Tushindwe ama tushinde. Salama lakini?Mushaanza kutamba sio?
Sana kwa mpira wa leo duuu TUCHEL ALIKUWA ANACHELEWA TU GAME 2 HZI KWAKWEL TUMECHEZASiku zote huwa tunatamba. Tushindwe ama tushinde. Salama lakini?
Mapema sana, hizi ni match za mazoezi game ya kipimo cha Tuchel ni dhidi ya Atletico Madrid UEFA.Sana kwa mpira wa leo duuu TUCHEL ALIKUWA ANACHELEWA TU GAME 2 HZI KWAKWEL TUMECHEZA
Kweli ila upepo umebadilika sana kwa timu nzimaMapema sana, hizi ni match za mazoezi game ya kipimo cha Tuchel ni dhidi ya Atletico Madrid UEFA.
Kidogo sana, team ili poteza hali ya ushindani wakati wa Lampard hasa wachezaji wakongwe walimletea mgomo Lampard ila bado mno hatuna taem ya kushindana na taem ngumu.Kweli ila upepo umebadilika sana kwa timu nzima