Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

Thomas Tuchel on bunley game:

""Burnley hawana tofauti Sana na Wolves tulicheza nao Wana defend deep na Ni very solid, kosa kubwa lilofanyika against Wolves tuliwaruhusu wadefend Sana goal lao kwasababu we played high up the pitch with alot of possession""

""Ni Nini kifanyike dhidi ya Burnley Ni lazima tuongeze uwezo eneo la mwisho wa metre 20 with position wise,timing wise,with run and dribbling wise lakini pia tunatakiwa to take more risk in certain zones bila kusahau kuspeeding up our game when we already have advantage""

NB: mmeona tofauti yake ya huyu kocha na Lampard umeona hayo maneno yake aliyoongea huyu ndio kocha.
lembu
Mkohoti
Cash Money Forever
Ollachuga Oc
Hazard CFC
test man
 
Tuchel on Timo Werner -Tutegemee Werner kucheza zaidi winga wa kushoto na kwa hiyo Erling Haaland kusajiliwa ni muhimu
‘He cares, but he’s not happy with himself and with the way things have gone lately. Right now it’s important for him to rebuild his trust in himself, and re-find a smile on his face, and stop doubting himself too much. It’s my job to help him with this, and then also find a position where we can use his strengths.
‘From his profile it is a given he prefers to have space,’ continued Tuchel, turning his focus to Werner’s best position.
‘He is super fast and he likes to play on the last line, very high up but a little bit more to the left so he is half open to the opponents’ goal and can receive balls into the open space.
‘Can we develop movements, patterns, behaviour to use his quality in narrow spaces? That’s my job and I’m absolutely convinced we can because the guy is young, the guy is open, the guy is friendly, and the guy is eager to learn.’
 
Tuchel on Kai Havertz

“His potential is endless,” Tuchel told reporters. “It has been a challenge for him and I think he made a brave choice [coming to Chelsea].

“What I feel from him is that he is a very intelligent, friendly and open guy who has a lot of potential - and we will push him. He seems like the guy who needs to be pushed and we won't stop doing it.
“For him, this league is perfect because he cannot rest. He has so much potential that he needs to be challenged physically, so he doesn't just rely on his endless talent. This is good. In the end, the question is: does he show his teeth in the end when it gets tough?

“I was happy yesterday that it was him who got the almost decisive header in the box against all these towering, strong players from Wolverhampton. It would have been a nice moment at the end of the match.

“He doesn't hesitate and this is what I want to see from him. Then the rest will come, because this guy can be a huge, huge part of this club.”
 
Maelezo ya Tuchel kwa nini aliwaacha Mason Mount na Billy Gilmour kwenye Squad

He had less than 24 hours to prepare for the Wolves clash following his appointment on Tuesday night, and he opted to go for experience, which saw Mount start on the bench and Gilmour out of the squad entirely.

"I wanted to take the weight off their shoulders," said Tuchel.

"I wanted to give the responsibility in this special moment to a bit more experienced players and have them on hand. There is nothing to worry about, I like what I see from Mason so far. Such a nice and competitive guy.

"Every game I have seen so far, Mason cares for Chelsea, 100 per cent. This is the best basis for a big development. I am very happy to have him around, I will not stop pushing him and guiding him.


For Billy, I have a good impression. He is a very strategic guy, very high level of game understanding, good in the first contact, clever positioning.

"We will see if he has the physical level. But he is super quick with his feet."
 
Leo vip?
Screenshot_20210131-103145~2.jpg
 
Kwa wanaojua mpira, Hazard kuondoka ilitosha kuvuruga ile timu ya Europa. Manure kaja mchezaji mmoja tu sasa wako kilelen9i mwa ligi, Akiondoka Bruno Hakuna timu pale. So Chelsea aliyokabidhiwa Lampard ilikuwa mbovu bila Hazard. Yeye pekee ndie aliyekuwa na uwezo wa kufikisha double dijits kwenye magoli na Assists. Mpaka sasa hatuna mchezaji mwenye uwezo huo ndio maana tunasota huku mid table. Chelsea ya Europa ilijengwa kwenye cornerstone ya Hazard. Ukweli ndio huo ndg. Hata urembe namna gani Chelsea Ya Europa na ile aliyokabidhiwa Lampard ni tofauti kabisa
Mkuu unataka kutuaminisha Chelsea bila Hazard si lelote, sio?
 
Chelsea Vs Burnley Predicted Line up
Formation: 4-2-3-1
1612079108652.png
 
Mkuu unataka kutuaminisha Chelsea bila Hazard si lelote, sio?
Mwanzoni hata kabla hajaondoka Hazard nilisema njia rahisi ya kuziba pengo la Hazard ni timu isukwe upya ili ule utegemezi wa Hazard isije ikaadhiri timu. Harakati za kuisuka Chelsea ndio hizo mpaka makocha wanafukuzwa. Sarri alikiri pengo la Hazard ni dhahiri na kila mchambuzi anakiri hivyo. Baada ya kuchukua Europa Chelsea ilirudi kuwa klabu ya kawaida bila Hazard. Hazard was a talisman of the club and you cannot ignore that hata kama hupendi. Usajili wa milioni 220 umefanyika ili kuiunda Chelsea upya na tunakoelekea ni kuzuri. Lakini Frankly speaking ile Chelsea ya akina Willian, Kovacic, Jorginho, Giroud, Tammy bila Hazard ni just a basic team in EPL
 
Mipango ya kumuwekea vikwazo zaidi Roma Abramovich ziko mbioni. Serikali ya Uingereza imekiri
The government said it was "considering all options for further action".
Saga hili ni muendelezo ya mwanaharakati na mwanasiasa mmoja aitawe Alexei Navalny ambaye alipewa sumu mwaka jana na mwaka huu Januari aliporudi Urusi aliwekwa ndani tarehe 17 January 2021.
Wabunge wa upinzani nchini Uingereza wanaishinikiza serikali kuwawekewa mabilionea wa Urusi wanaomiliki vilabu nchini humo kama njia ya kuishinikiza serikali ya Putin kuwaachia akina Navalny na wenzake waliowekwa ndani. Navalny anapigania ukiukwaji wa haki za kibinadamu na rushwa iliyokisiri kwenye serikali ya Putin, Navalny pia anamtuhumu Putin kupanga njama ya kumuua. Mahakama wiki ijayo itakaa kupitisha hukumu ya kumfunga Navalny miaka mitatu na nusu
 
Formation ni 3-4-2-1
Tammy Abraham
Timo Werner ----Mount
Alonso --- Kovacic --- Jorginho --- Odoi
Rudiger ---- Silva --- Azpilicueta
Mendy
 
Alonso kashampiga mtu bench[emoji23][emoji23]
20210131_145847.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom