Okay,swali la mwisho,subscription price ikoje?..na unaweza kufunga dish popote tz?Hapana mkuu sio english ,french tu
Hapana mkuu sio english ,french tu
Tushaanza kufa kwa kufunga 1 - 0Mbona hii game kama mnakufa hivi
Kweli unachosema labda hiyo lugha ikiwa inapanda sio tatzo sanaTatizo lipo hapo, bila kusikiliza commentaries mpira haunogi, ndio maana wengine hawakai pub au vibanda umiza
Nadhani kocha anawapa nafasi waliokosa kucheza under Lampard. Nategemea kumuona Tomori soon. Sijawahi kumwelewa Lampard kumnyima hata michezo ya kawaida. Jamaa ni mzuri sana!Alonso kashampiga mtu bench[emoji23][emoji23]View attachment 1690818
Yaani aisee kama mimi bila kuangalia build up in english na commentary ya kina Peter drury na Matt holland huwa si-enjoy kabisa.Tatizo lipo hapo, bila kusikiliza commentaries mpira haunogi, ndio maana wengine hawakai pub au vibanda umiza
Tumori kashapelekwa kwa mkopo kama sikosei ni ac milan (kama nmekosea naomba kurekebishwa kuhusu timu?Nadhani kocha anawapa nafasi waliokosa kucheza under Lampard. Nategemea kumuona Tomori soon. Sijawahi kumwelewa Lampard kumnyima hata michezo ya kawaida. Jamaa ni mzuri sana!
Last time walitaka kumpeleka aligoma. Labda kama ilinipitaTumori kashapelekwa kwa mkopo kama sikosei ni ac milan (kama nmekosea naomba kurekebishwa kuhusu timu?
Tomori gani?Nadhani kocha anawapa nafasi waliokosa kucheza under Lampard. Nategemea kumuona Tomori soon. Sijawahi kumwelewa Lampard kumnyima hata michezo ya kawaida. Jamaa ni mzuri sana!
Kweli kabisa sema naipenda canal sababu ya quality ya picha ata movie za english unaenjoy sanaYaani aisee kama mimi bila kuangalia build up in english na commentary ya kima Peter drury na Matt holland huwa si-enjoy kabisa.
Niliona picha amesepaLast time walitaka kumpeleka aligoma. Labda kama ilinipita
Tomori alishapelekwa Kwa mkopo tiyari AC Milan juzijuzi alikuwa anakabana n kina lukakuLast time walitaka kumpeleka aligoma. Labda kama ilinipita
😂😂😂😂Tushaanza kufa kwa kufunga 1 - 0
Mpira dakika 90Tushaanza kufa kwa kufunga 1 - 0