Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,531
- 18,727
Salama kabisa broo. Naona siku hizi mnashinda tu mpka mnaitisha ulinzi.
Za miaka tele bro?
The boss1 umemuacha wapi?
Za miaka tele bro?
The boss1 umemuacha wapi?
Sure mkuu hyi ni hakika sana Timo bado anawenge ila mie kwangu bado ni MSHAMBULIAJU MZURI SANA KUNA KITU NAHIS ANAKOSANA KAI NAONA KAMA ANAKUJA BEN HAJIAMINI BUT NI KIJANA MZURI ILA KIAS UPEPO WA MWAMBAO UNAPULIZA VIZRKidogo sana, team ili poteza hali ya ushindani wakati wa Lampard hasa wachezaji wakongwe walimletea mgomo Lampard ila bado mno hatuna taem ya kushindana na taem ngumu.
Bado Tuchel anatakiwa kuunda team kwa maana kulineup patterns za wachazaji na jinsi ya kuwatumia kutegemea team. Pia bado anatakiwa kuanza individual coaching hasa kwa wachezaji vijana.
Watu kama Abraham, Timor Warner, Kai, James, Chilwell hawa wote lazima awafanyie mafunzo ya pekee kuwabadirisha wanacheza kwa kubahatisha. Hawajiamini na bado wanahitajika kujengwa na kuwaingiza kwenye mfumo wa team ya chelsea maana bado wanajichezea tu wajuavyo game moja kwenda nyingine.
Nimefurahi kukuona nilikumis Sana naona kuondoka kwa Lampard wameturudisha kundini.
Halafu ikawaje baada ya hizo dakika 90? Au mgonjwa aliongezwa dozi nyingine?Mpira dakika 90
Hapo mtoe chilwell na james Hawa wapo level ya ushindani kabisa ni rotation tu inatakiwa Ili nao wapumzikeKidogo sana, team ili poteza hali ya ushindani wakati wa Lampard hasa wachezaji wakongwe walimletea mgomo Lampard ila bado mno hatuna taem ya kushindana na taem ngumu.
Bado Tuchel anatakiwa kuunda team kwa maana kulineup patterns za wachazaji na jinsi ya kuwatumia kutegemea team. Pia bado anatakiwa kuanza individual coaching hasa kwa wachezaji vijana.
Watu kama Abraham, Timor Warner, Kai, James, Chilwell hawa wote lazima awafanyie mafunzo ya pekee kuwabadirisha wanacheza kwa kubahatisha. Hawajiamini na bado wanahitajika kujengwa na kuwaingiza kwenye mfumo wa team ya chelsea maana bado wanajichezea tu wajuavyo game moja kwenda nyingine.
Hata game ijayo kesho kutwa na tot. nikipimo. Profesa tuchel ni mtu makini.Mapema sana, hizi ni match za mazoezi game ya kipimo cha Tuchel ni dhidi ya Atletico Madrid UEFA.
waulize liverpoolHivi tunaupiga mwingi au hii burnley ni mbovu
Awaulize na Arsenal, Aston Villa, na Wolveswaulize liverpool
waulize liverpool
3.Chelsea ( Tuchal team morale boost)@Cash Money Forever
EPL 20/21 - TOP 4
1. Liverpool FC (Klopp System)
2. Manchester UTD (Bruno Impact)
3. Manchester City (Pep Tactics)
4. Chelsea FC (?????)
Pambaneni musikubali kushuka daraja kizembe, nyiee!