Hii ndo chelsea tunayoitaka ...Hivi tunaupiga mwingi au hii burnley ni mbovu
Goal la mweziAloooooooonsoop what a goal
HatariiiGoal la mwezi
Baada ya dk 94, tumekufa kwa kushinda 2 - 0Mpira dakika 90
Tomori kashauzwa AC Milan mkopo baadaye watamnunua kwa mil 25Nadhani kocha anawapa nafasi waliokosa kucheza under Lampard. Nategemea kumuona Tomori soon. Sijawahi kumwelewa Lampard kumnyima hata michezo ya kawaida. Jamaa ni mzuri sana!
Ile push ya kutafuta magoli na kuacha useless backpasses naona kocha kaifanyia kazi. Naona kuna morale.😂😂😂😂
Ila kuna kitu kimeongezeka kwa wachezaji hasa wanapopoteza mpira
Nimependaa james alivocheza dakika alizoingiaIle push ya kutafuta magoli na kuacha useless backpasses naona kocha kaifanyia kazi. Naona kuna morale.
Pia inaonekana kocha anajua kuchanganya wachezaji. Hii inatoa matumaini in case of injury hakutakuwa na maumivu sana!
Hapa Sporting director alichemka. Lampard kutompanga alichemka pia.Tomori kashauzwa AC Milan mkopo baafsye mil 25
Huyu dogo nilikuwa napenda uchezaji wakeHapa Sporting director alichemka. Lampard kutompanga alichemka pia.
James ni defender anayeshambulia sana. Huwa anajisahau wakati mwingine ananogewa na mashambulizi na kuna muda huwa inatugharimu sana. Naona kaamua kumpa rungu. Sema alikuwa anasita kunyoosha. Ana physique nzuri so akinyoosha kipa anakaa mguu sawa!Nimependaa james alivocheza dakika alizoingia
Wachezaji naona wameamua
kwenye huu mfumo wa leo wa 3-4-3 Alonso na Reece wanafaa sana kwa sababu wanacheza kama Wing-backsJames ni defender anayeshambulia sana. Huwa anajisahau wakati mwingine ananogewa na mashambulizi na kuna muda huwa inatugharimu sana. Naona kaamua kumpa rungu. Sema alikuwa anasita kunyoosha. Ana physique nzuri so akinyoosha kipa anakaa mguu sawa!
Tomori tena we jamaaNadhani kocha anawapa nafasi waliokosa kucheza under Lampard. Nategemea kumuona Tomori soon. Sijawahi kumwelewa Lampard kumnyima hata michezo ya kawaida. Jamaa ni mzuri sana!
Na Chilwell akirudi kwenye form zile cross zake. Itakuwa safi kabisa!kwenye huu mfumo wa leo wa 3-4-3 Alonso na Reece wanafaa sana kwa sababu wanacheza kama Wing-backs