Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 16,025
- 27,366
Huu ujumbe ni wa Arsenal na nyie wenyewePambaneni musikubali kushuka daraja kizembe, nyiee!
Huu ujumbe ni wa Arsenal na nyie wenyewePambaneni musikubali kushuka daraja kizembe, nyiee!
We endelea kutamba tu, leo Adams lazima akutie
Mkuu Allegri kaifundisha AC Milan na scudeto kawapa si wa mchezooWatatu hawa kumridhi Lampard, Mazungumzo ya kumtimua yameanza
Madai ni kwamba Lampard kapewa muda na hakuna hata dalili za mbinu zake kuleta matunda yeyote pale darajani
- Tuchel - Katika timu kubwa alishaifundisha Dotmund miaka miwili na PSG miaka miwili na nusu ligi ya wakulima wining %age ni 74 akiwa PSG
- Allegri amefundisha muda mrefu vitimu vidogo, Juve kifundisha miaka 5 na wining %age ya 70% akiwa Juve
- Avram Grant - Hana uzoefu wowote zaidi ya kuifundisha Chelsea 2007/8 na Westham 2010/11. Hakutoka Chelsea vizuri kwani wachezaji hawakumpenda kwa sababu ufundishaji wake ni wa kizamani mno miaka 25 iliyopita na hakuwa na mbinu zozote za kisasa kwa wakati huo wa 2007/8. Sasa tuko 2021, si atakuja na mbinu za miaka 40 iliyopita?
Duuh source?Kylian Mbappe on the Radar
Huyu Baba Rahman atarudi lini bridge? Kila msimu yeye ni mkopo tu..dah maisha haya!!Chelsea Out for January Window Ended 2 Feb 2021
Charlie Brown (MK Dons)
Lucas Piazon (Braga)
Danny Drinkwater (Kasimpasa) Loan
Fikayo Tomori (AC Milan) Loan
Baba Rahman (PAOK) Loan
Jack Wakely (Brighton) Loan
Utajitaji tu hata maji maji for life tulia dawa ikuingia utasema tu doc nimeponaSpurs for life
Mtoto wa mjini ni mtoto wa mjini tu hata kama hajui mpira kama Lingard atafunga tu magoli ya kugereshea. Kai yule mtoto wa shamba, huku mjini itabidi azoee maisha
Aisee pokea kabisa hizi gwala [emoji1363][emoji1363][emoji1363][emoji1363][emoji1363]. Hawa mabwana mdogo naona wameanza kujisahau wanashindwa kutoa heshima kwa wakubwa zao.Spurs for life
Ndiyo ndoto uliyoota siyo. Unadhani Jose anafungwa 2 0 kirahisi eee. Kikosi chetu bado ndiyo ila pointi zetu za kutuhakikishia top 4 mnazo.Predicted winner = Chelsea 2-0
Predicted Line up
Formation = 3-4-2-1
Giroud
Pulisic ----------Ziyech
Alonso -----------Gilmour------------------Kante------------------Odoi
Silva ---------------- Rudiger ---------------------Azpilicueta
Mendy
Kwa kweli sasa tunaongea lugha moja. Tulipopigwa sisi wasema Jose ameisha. Sasa tumeelewana kuwa BHA wana jambo lao na vigogo.Hii dozi Brighton inazotoa kwa timu kubwa lazima ni dozi mpya
Klopp hawezi kuchukua hata kikombe cha mbuzi anapokuwa na changamoto hata moja tu. Anahitaji kuwa na kikosi cha dunia mechi zote za msimu ndiyo achukue kikombe kimoja (epl ama ucl).@Cash Money Forever
EPL 20/21 - TOP 4
1. Liverpool FC (Klopp System)
2. Manchester UTD (Bruno Impact)
3. Manchester City (Pep Tactics)
4. Chelsea FC (?????)
Mzee wangu kikosi kizuri Ila hapo Kwa gilmour .....panamfaa kovacic czan km Kwa performance yake adropiwe kirahisi hvyoPredicted winner = Chelsea 2-0
Predicted Line up
Formation = 3-4-2-1
Giroud
Pulisic ----------Ziyech
Alonso -----------Gilmour------------------Kante------------------Odoi
Silva ---------------- Rudiger ---------------------Azpilicueta
Mendy